Recent content by nenombe

  1. N

    Ushindi wa Mayweather utata

    Sheria nyingine huwaga za kikoloni kweli ilimradi kumkandamiza mtu
  2. N

    Pambano la Maywether na Mannypacquiao

    Fitina imetumika mkuu pale hakustahili kabisa ule ushindi imetumika kubebana kwa sababu marefa wakwake na uwanja wa nyumbani
  3. N

    Msajili wa Vyama vya Siasa: Nitavifuta CHADEMA na CUF

    Mfa maji haishi kutapatapa.
  4. N

    Kwa kasi hii, Zitto Kabwe kwa sasa ni power broker katika chaguzi kuu

    Hiki ni chama cha zito mkuu...! Huyu jamaa siyo mtu mzuri siyo kwa chama tu hata kwanchi na ndyo maana ameenda sehemu ambayo hawezi kosolewa na mtu maamuzi yake ndyo yawe ya mwisho. Jamaa ni DIKTETA
  5. N

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mimi binafsi naipenda sana vodacom lakini sasa hv mtandao unakuwa wa wenye nacho kama huna basi utakushinda mmepandisha bei sana huduma zenu kwakweli, rekebisheni kidogo hapo kwenye bando zenu.
Back
Top Bottom