Recent content by nendiwekilasa

  1. N

    Ma Lecturer na Prof Wanafaidi Sanaaa! Kila Mwaka Wanalamba Nyapu Mpyaaaaaaaa!!!!! (UKIMWI NI KIFO!)

    Yani sitaki kukumbuka hii kitu ilinitesa sana wakati nasoma, dah, hadi machozi yamenitoka, na kwa bahati mbaya masomo karibia yote walikua walimu wa kiume, na darasa ktk watu 80 waschana tulikua wa 5 tuu, yani nlisoma kwa mateso, but thanx God niliweza kumaliza salama.
  2. N

    Huyu mwanaume mbona hanidhuru

    hahaaa.. basi ngoja leo jioni akirudi atanikuta na hilo poz i hope lazima limtoe nyoka pangoni tena huku anapiga vigelegele
  3. N

    Huyu mwanaume mbona hanidhuru

    unajui inauma sana mtu unamdai kabisa alafu yeye anajidai hana habari, jana usiku wee hamu yote iliniisha, nikaogopa asijeenda polisi bure kushtaki nataka kum-baka
  4. N

    Huyu mwanaume mbona hanidhuru

    unisamehe tuu ndugu yangu, kuchanganyikiwa huko. Nawaomba radhi wote ambao nimewakwaza kwa comment yangu
  5. N

    Huyu mwanaume mbona hanidhuru

    weee nilijaribu kufanya hilo jaribio usiku wa manane, nikamtaimu nikaanza kumfanyia vimambo mambo jamaa huko uvunguni akawa keshakubali, ile nataka nidandie, lahaula nkaskia mtu kaamka eti ananiuliza UNATAKAJE?basi nguvu ziliniisha hapo hapo, wacha nione aibu.
  6. N

    Huyu mwanaume mbona hanidhuru

    hahahaaaa jamani ntakurukiaje sasa!
  7. N

    Huyu mwanaume mbona hanidhuru

    Nisamehe sana kwa lugha hizo kali nlizotumia, yani unajua wakati naandika nlikua nina hasira hadi mikono ilikua inatetemeka, sura nimeikunja, mdomo nimeuvuta, yani nlikua naandika huku nasonya tuu, ujue hadi kichwa kikawa kinauma. Nitafanya kama ulivyo nishauri
  8. N

    Huyu mwanaume mbona hanidhuru

    thanx kwa ushauri wako, yani unajua nimechanganyikiwa live..
  9. N

    Huyu mwanaume mbona hanidhuru

    Yani hapa ninahasira kibao, mwanaume wiki nzima ndani anakuangalia tuu hata kunidhuru hanidhuru, lipo tuu linajitia eti lipo busy na kazi, yani kama vile hanioni, kitanda nakiona kikubwa, nikimgusa anajidai kama vile kalala unono kumbe lipo macho, yani deadline nimemwekea ni leo, asiponigusa...
  10. N

    Nipokeeni ndugu zangu, tabu za dunia zimenizidi

    Jamani kwa heshima na taadhima naomba mnipokee ndugu yenu, ninahisi kwa kuja hapa nitatua mizigo niliyonayo, naomba mnipokee kwanza, ili nikishakaribishwa ndani niweze kutoa yale yanayonisibu ili mnisaidie ushauri
Back
Top Bottom