Recent content by nelson wade

  1. N

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Startimes nimelipia kifurushi leo cha siku hela imekatwa na sms imekuja ya kusema hongera kwa kujiunga kifurushi cha siku 2 lkn channels hazijafunguka, card no.02035601827
  2. N

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nmb kwanini nanunua salio kwa nmb mobile toka kwenye akaunti yanguhela inakatwa lakini sipati muda wa maongezi nilioomba? Imetokea mara mbili weekend iliyopita,majibu tafadhali
  3. N

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Vodacom, nimeweka vocha kabla sijajiunga wala kutumia mkakata shilingi 2 nikashindwa kujiunga, sijakaa sawa zikakatwa tena toka 498 mpka 438,,naogopa hata kuweka salio kwani ni mchezo unaojirudia mara kwa mara, majibu tafadhali
Back
Top Bottom