Startimes nimelipia kifurushi leo cha siku hela imekatwa na sms imekuja ya kusema hongera kwa kujiunga kifurushi cha siku 2 lkn channels hazijafunguka, card no.02035601827
Nmb kwanini nanunua salio kwa nmb mobile toka kwenye akaunti yanguhela inakatwa lakini sipati muda wa maongezi nilioomba? Imetokea mara mbili weekend iliyopita,majibu tafadhali
Vodacom, nimeweka vocha kabla sijajiunga wala kutumia mkakata shilingi 2 nikashindwa kujiunga, sijakaa sawa zikakatwa tena toka 498 mpka 438,,naogopa hata kuweka salio kwani ni mchezo unaojirudia mara kwa mara, majibu tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.