Recent content by Nelson Kileo

  1. Nelson Kileo

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Hizi Barabara zinajengwa Arusha mjini zipitiwe kuna jambo haliko sawa. Kuna ile ya Mianzini - Ngaramtoni ni Mwaka wa tano sasa unaenda haikamiliki na hata kipisi kilichojengwa bado kipo chini ya viwango.
  2. Nelson Kileo

    KERO Utaratibu wa gharama za parking ni mbovu sana kwa Arusha

    Inakuaje mtu hupatiwi ticket ? wanapita na machine kwenye magari wanakatisha parking lakini hawaweki karatasi kumjulisha mwenye gari kua amekatiwa Parking. Hii inasabaabisha madeni makubwa ambayo kiuhalisia mtu alikua hajui kama anadaiwa. Inasababisha Usumbufu mkubwa sana.
  3. Nelson Kileo

    Dstv mna huduma mbovu kwa wateja wenu, jirekebisheni.

    Kwann mnakua na tabia za kupigia wateja wenu simu na kuwashawishi juu ya offer fulani lakini hamtimizi kwa wakati punde mteja anapokubali matakwa yenu ? How comes inachukua mda kwa nyie kuUpdate package ya mteja ? Kuna offer flani mlipitisha kipindii cha miezi kadhaa nyuma mliita "Panda...
  4. Nelson Kileo

    Kwa pamoja njooni tuwape Wachaga Maua yao

    Hawa jamaa wanahitaji pongezi kwa namna wanaaenda kwao kurudisha kilichopatikana pamoja na kujiweka tayari kwa kuingia mwaka mwingine. Hakika kwa misafara ya magari yanayoelekea Kaskakazini especially Moshi ni dhahira tunapasaa kusema utamaduni huu umekua kivutio kikubwa sanaa ndani na nje ya...
  5. Nelson Kileo

    Nimerudi tena Baada ya Miaka 2 kwa changamoto za kusahau password, hili tatizo JF mlitizame.

    Kwa kipindi cha muda mrefu niliacha kutumia JF almost 1year na baadae kurudi nikawa nimesahau password yangu, changamoto ilikua kubwa zaidi pake ambapo details zangu nilizofungulia account yaani email na password pia kwa wakati huo siku kwenye matumizi navyo. Kitu pekee nilichokua nacho kichwani...
  6. Nelson Kileo

    Kwa wale mnaokuja kula Christmas vijijini, zingatieni yafuatayo

    1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 12 jioni baada ya kutoka shamba, acheni shobo. 2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako anaye deka-deka. 3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga, ndoo ya maji kutoka...
  7. Nelson Kileo

    Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

    Niende moja kwa Moja kwenye topic,Wakubwa Mambo yanakwenda kasi sana kwakweli na kwa jinsi hali hii inavyoshika hatamu kuna uwezakano mkubwa Style ya Dada poa Kusimama na kujiuza barabarani ikapungua kwa kiwango kikubwa sana , nimegundua njia zinatomika na hawa dada zetu kufanya biashara haramu...
  8. Nelson Kileo

    Ni muda wa Jeshi la Polisi sasa kubadilika,enendeni na wakati uliopo

    Jeshi la Polisi naomba niwambieni Jambo. Je mnafahamu hii Dunia inakwenda kasi sana ? Tambueni Technolojia inakua kwa kasi ya ajabu sana,Elimu ya Uraia inatolewa kwa kiwango kikubwa sana na Serikali,Taasisi na hata watu Binafsi,tambueni Elimu hizi zinaabadilisha fikra za watu juu ya kuzifahamu...
  9. Nelson Kileo

    Polisi wadaiwa kuomba rushwa ya Milioni 10 kwa Mange Kimambi

    Ila ni swala la Nyakati tu ndio litashape Mwendendo wa polisi,Kwa hali inavyokwenda Wananchi wengi wametoka uwoga kabisa na wanakataa kuonewa kama ilivyokua awali, Wananchi wengi wamepata japo elimu ya juu juu jua ya maswala ya Haki zao za msingi. Itafika mahala Automatically tu Polisi...
  10. Nelson Kileo

    Mafuta ya Nguruwe yamekuwa mkombozi mkubwa kwa sasa

    Usalama upi Tena unataka , kama Mzigo unaliwa hadi ngozi , mafuta yake ni Masafi kwa Afya na yanaokoa Gharama , ni nn tena unataka Kijana.
  11. Nelson Kileo

    Mafuta ya Nguruwe yamekuwa mkombozi mkubwa kwa sasa

    Hahahaha [emoji4][emoji3][emoji23] Mm sijawahi Kumsaliti kwakweli
  12. Nelson Kileo

    Mafuta ya Nguruwe yamekuwa mkombozi mkubwa kwa sasa

    Awali yalikua yalikua yanauzwa kwa Bei ya 7K kwa Lita tano, pamoja na bei ya sasa kua mara mbili zaidi ya Bei hiyo ya awali bado yanaonekana kua na Unafuu zaidi ya bei halisi ya Mafuta mengine kwa sasa. Uzuri wa haya mafuta bana Hayaishi kwa Haraka, pia hayagandi. Kwa sasa wanaucheza mwingi...
Back
Top Bottom