Hizi Barabara zinajengwa Arusha mjini zipitiwe kuna jambo haliko sawa.
Kuna ile ya Mianzini - Ngaramtoni ni Mwaka wa tano sasa unaenda haikamiliki na hata kipisi kilichojengwa bado kipo chini ya viwango.
Inakuaje mtu hupatiwi ticket ? wanapita na machine kwenye magari wanakatisha parking lakini hawaweki karatasi kumjulisha mwenye gari kua amekatiwa Parking. Hii inasabaabisha madeni makubwa ambayo kiuhalisia mtu alikua hajui kama anadaiwa.
Inasababisha Usumbufu mkubwa sana.
Kwann mnakua na tabia za kupigia wateja wenu simu na kuwashawishi juu ya offer fulani lakini hamtimizi kwa wakati punde mteja anapokubali matakwa yenu ? How comes inachukua mda kwa nyie kuUpdate package ya mteja ?
Kuna offer flani mlipitisha kipindii cha miezi kadhaa nyuma mliita "Panda...
Hawa jamaa wanahitaji pongezi kwa namna wanaaenda kwao kurudisha kilichopatikana pamoja na kujiweka tayari kwa kuingia mwaka mwingine.
Hakika kwa misafara ya magari yanayoelekea Kaskakazini especially Moshi ni dhahira tunapasaa kusema utamaduni huu umekua kivutio kikubwa sanaa ndani na nje ya...
Kwa kipindi cha muda mrefu niliacha kutumia JF almost 1year na baadae kurudi nikawa nimesahau password yangu, changamoto ilikua kubwa zaidi pake ambapo details zangu nilizofungulia account yaani email na password pia kwa wakati huo siku kwenye matumizi navyo.
Kitu pekee nilichokua nacho kichwani...
1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 12 jioni baada ya kutoka shamba, acheni shobo.
2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako anaye deka-deka.
3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga, ndoo ya maji kutoka...
Niende moja kwa Moja kwenye topic,Wakubwa Mambo yanakwenda kasi sana kwakweli na kwa jinsi hali hii inavyoshika hatamu kuna uwezakano mkubwa Style ya Dada poa Kusimama na kujiuza barabarani ikapungua kwa kiwango kikubwa sana , nimegundua njia zinatomika na hawa dada zetu kufanya biashara haramu...
Jeshi la Polisi naomba niwambieni Jambo.
Je mnafahamu hii Dunia inakwenda kasi sana ? Tambueni Technolojia inakua kwa kasi ya ajabu sana,Elimu ya Uraia inatolewa kwa kiwango kikubwa sana na Serikali,Taasisi na hata watu Binafsi,tambueni Elimu hizi zinaabadilisha fikra za watu juu ya kuzifahamu...
Ila ni swala la Nyakati tu ndio litashape Mwendendo wa polisi,Kwa hali inavyokwenda Wananchi wengi wametoka uwoga kabisa na wanakataa kuonewa kama ilivyokua awali, Wananchi wengi wamepata japo elimu ya juu juu jua ya maswala ya Haki zao za msingi.
Itafika mahala Automatically tu Polisi...
Awali yalikua yalikua yanauzwa kwa Bei ya 7K kwa Lita tano, pamoja na bei ya sasa kua mara mbili zaidi ya Bei hiyo ya awali bado yanaonekana kua na Unafuu zaidi ya bei halisi ya Mafuta mengine kwa sasa.
Uzuri wa haya mafuta bana Hayaishi kwa Haraka, pia hayagandi.
Kwa sasa wanaucheza mwingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.