Naomba kusaidiwa kujua:
1. Jinsi ya kununua/ kulipia bidhaa zao
2. Unazipataje baada ya kulipa? Wanatuma/unasafirisha mwenyewe?
3. Gharama za kusafirisha na bandarini inakuaje?
Kwa wazoefu wa kulia viazi mviringo naomba msaada wa kufahamishwa jinsi ya kuviotesha kabla ya kuvipanda shambani. Maana mwaka ulioisha virinigarimu baada ya kuniozea gunia tatu za mbegu wakati wa uoteshaji. Naenda sana Kilimo hiki, tafadhari naomba msaada.
Mimi kuhitimu shahada ya ualimu Masomo ya kiswahili na kiingereza (literature) naombeni msaada wa kupata kazi ya ufundishaji ama yoyote ile. 0753101293
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.