Recent content by Nelson chachage

  1. N

    Mwanza wamuomba Slaa kufanya kongamano ''okoa nchi kataa ufisadi'' Nyerere mpya azaliwa

    Kwa taifa la leo pole slaa kwa kujifanya mwl wa siasa sasa kila mmoja ana akili timamu mzee acha wtz wafanye maamuzi yao
  2. N

    Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

    Wakati wa mabadiliko ni sasa mtanzania chukua hatua kwa mtazamo na mawazo ila maamuzi yako mikononi mwako
  3. N

    Hussen Bashe, muasi ndani ya CCM(?)

    Ni kweli kwa vitu alivyovifanya ni imani tosha kwake kiuhalisia anakubalika pia sio tu kwa misaada
  4. N

    Hussen Bashe, muasi ndani ya CCM(?)

    Ila wengi wanalia kwa uongozi uliopita yaan wabunge wa nzega now wanaiman na Bashe kuliko unavyofikiri,,! "yaweza aweze"
  5. N

    Kikwete: Zama za kuamini kuwa CCM ikipitisha mgombea huyo ndio anakuwa Rais zimepitwa na wakati

    Mpendwa kumbuka haitoshi kulifahamu jambo na kutolea maamuzi magumu
  6. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Anayetaka kubadili kituo cha kazi kuja Tabora-nzega DC mie kokote kama iringa, njombe, ruvuma,,,! namba 0762888672
  7. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Anayetaka kubadili kituo cha kazi kuja Tabora-nzega DC mie kokote kama iringa, njombe, ruvuma na mikoa ya kusin kokote
Back
Top Bottom