Recent content by Neima

  1. N

    Mabinti siku hizi wanazaa zaa bila mpango

    Kwahiyo unataja siri za mke wako hapa au?
  2. N

    I am in love with my brother

    Husali vizuri Amanda bado hujapiga goti ipasavyo Mungu wetu ni mwaminifu sana mkono wake si mfupi mpaka asiweze kukushika na sikio lake si dogo kiasi cha kutoweza kukusikia sali ukimaanisha, fanya toba ya kweli funga na kuomba utaushuhudia ukuu wake
  3. N

    Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

    Usanii mtupu shida ya wema drama nyingii ndoa kitu kingine aanze tu kufanya ya kimya
  4. N

    Huwa una kismati na wanawake wa aina gani?

    Kauli mbaya hii kaka
  5. N

    Sijisikii kumpenda tena, lakini namuonea huruma kumwacha

    Nimekupenda sana, umeugusa moyo wangu
Back
Top Bottom