Wanapiga hela sana maana yanatembea sana ...soko lake ni kubwa..
hope unajua chimbo yanapopatikana huko uchinani ... mostly yapo mji wa yuwi ...Yiwu wholesale market... district 4 ...kwenye daily necessities market.
Ila pia kama unanguvu kubwa unaweza kwenda viwandani moja kwa moja
Agiza mazaga ...mahitaji ya kila siku
Dawa za meno vigor doctor..na...aloevera ...super black ...miswaki ya wakubwa na wadogo... dawa za mbu shenke (udi na kidonge) ...stick za meno... super glue (tembo)....viberiti vya gesi...nk
Ukiweza kuleta vikafika kwa bei nzuri zaidi ya iliyopo sokoni...
Wajinga ndio waliwao... nenda hospitali kubwa yoyote iliyokaribu nawe ...kakutane na daktari bingwa wa upasuaji (general surgeon) ni procedure ya kawaida kabisa kwake ..pia hata ukikutana na daktari MD mzoefu anakufanyia vizuri kabisa ...kila raheri mkuu
Boss fuata oder hii utapo fanya maamuzi ...
3
2
1
4
Biashara inayohusu wanawake utatoboa mkuu ... wanaume tunakomaa huko kwenye makazi na maBiashara mengine ..tunatuma na yakutolea ..kwaajili ya kusuka ... wanakuja kununua rasta kwako ...na wanabadili mitindo kila siku ..leo bambucha kesho...
Ni biashara nzuri sana ...na inafaida sana hasa kwa rejareja ...mfano ukipata mteja wa kufunga wiring ya nyumba nzima...anakuachia kibunda kizuri tu chap
Changamoto kubwa ni wateja wako wakuu ni mafundi ...hivyo inabidi ujifunze namna ya kuishi nao...(sehemu zingine wanapewa % ya faida ) ..ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.