Mkuu wa mkoa wa dar es salaam amezifutita kampuni za udalali zinazokamata magari yaliyoegeshwa sehemu zisizostahili kutokana na manyanyaso na faini kubwa wanazotoza.badala yake utapangwa utaratibu mwingine ambapo kazi hiyo itafanywa na suma jkt.chanzo taarifa ya habari ya channel ten
Ni kweli matenk ya mafuta yamelipuka na kuna malori yalikua kwenye foleni pale yard yameungua mengi tuu na watu wengi wamepoteza maisha hali sio nzuri kutokana na malori kugeuza na kukimbia ilikua ni vigumu kupata picha taharuki ilikua kubwa na milipuko ya matenk ya kuhifadhia mafuta
Hiyo ni lugha nyepesi kwa jambo zito toka juzi uck hadi sasa haujarudi tayari yamepita hadi sasa masaa 30.na hatujui chochote kinachoendelea we hapo unaona ni jambo la kawaida eneo kubwa tangu tazara,airport,ukonga yote.
Leo nimepaki gari pembeni ya duka kununua bidhaa nimemaliza kununua kutoka tu nje nimekuta gari ya noah imejaa watu kibao wanadaai wao ni mawakala wa magesho ya magari eti nimepaki njiani natakiwa kulipa faini au waite break down waivute gari yangu,na hiyo barabara ni local road maeneo ya...
Mungu ameamua kufichua uovu aliotendewa mtoto nasra aliyeishi kwenye box siku chache kabla ya umauti wake ili wahusika wapate machungu.maana huyu mtoto angefariki akiwa bado kwa mama yake mkubwa ukweli ungefichwa na wangeendelea kula bata , acha na hao waonje machungu hapa duniani.
Nakumbuka mama alinishonea sketi ndefu sana hata kuvuka mtaro siwezi madai yake nikue nayo angalao inifikishe hadi darasa la nne.halafu kulikua na mwanafunzi anaitwa hemedi alikua na mkwara eti kila siku tumletee pesa na usipomletea unakula kichapo nakumbuka niliwahi kuiba pesa nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.