Najua ila humu ni vile tu hatuonani ila ww mwenyew una shida ya akili zaidi yangu maana kupambana na mtu usiyemjua kaandika Uzi akiwa na maana gani ww ndo unatatizo la kujifanya motivation speaker... Mungu ndo anajua saiz una hali gani ya maisha
Jamani nauliza tu Kwa mwenye fununu kuhusu ajira *note Kwa motivation speakers na wenye akili nyingi jibuni swali msianze mambo ya mara ujiajiri mara acha uvivu
Mzee shusho alikuwa anafanya kazi bandari Tanga maisha yalikuwa mazuri sana Mzee wa watu alimpenda sana Christina na kumsomesha Hadi hicho kienglish pamoja na kumsomesha mdogo wake na Christina wa like ambae alipoolewa alikuja na mdogo wake yule Binti aliekuwa anacheza kwenye nyimbo za Tina za...
inashangaza Mimi nilikuaga naamini mwanamke mrembo anazaa watoto wazuri pia ila nashangaa Kwa mrembo ameshindwa kurithisha uzuri wake Kwa mabinti zake au ndo ana mchanganyiko wa utaifa tofauti
Ila inashangaza Mimi nilikuaga naamini mwanamke mrembo anazaa watoto wazuri pia ila nashangaa Kwa mrembo ameshindwa kurithisha uzuri wake Kwa mabinti zake au ndo ana mchanganyiko wa utaifa tofauti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.