Wewe unayeitetea tff na kuikandamiza simba nina uhakika hujacheza mpira wala hupendi mpira toka moyoni au utakua uoande wa pili tofauti na simba, hivi kabla mashabiki hawajavunja viti lazima ujiulize kwa nini wavu je viti?? Goli lao halali limekataliwa, mtu anashika mpira kwa mkono kabsa na...
Lakini pia tujue kuwa hyo misaada haiiji bure, kadiri wao wanavyotoa na kututoa point moja hadi nyingne, ndo vivyohivyo na wao wanavyochota rasilimali zetu behind the scenes, trust me Marekani hana urafiki sehemu isiyokua na maslahi ndugu yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.