Kibaha mkuu... Usafiri wa uhakika na haraka.. 2.lango kuu la kuingia jijini kutoka Mikoa yote kutoa Lindi na mtwara,thamani ya ardhi iko juu,na inapanda Kwa Kasi..chanika waswahili wengi.. viwanja vidogo sana ambavyo vitakuja kutengeneza mji mbovu na usiopangika baadae, pia Kuna mafuriko sana na...