Recent content by Negemu

  1. Negemu

    Kanisa Katoliki wanajenga kitu gani maeneo ya Makurunge?

    Saivi pamoto, kuanzia makurunge zahanati hadi majumba sita, panajengeka sana, Niko kwa mosha hapa maua daftari road
  2. Negemu

    Sasa msipojenga hizi ramani nitamuuzia nani? (Bei mtelezo, Room 2 hadi 7)

    Ofisi ziko wapi nije Nina wazo la ramani yangu tupeane ushauri kwanza
  3. Negemu

    Kiwanja kinauzwa, kiluvya kwa sumaye square meter 556.5 tsh. Mil 14

    Bei elekezi hapo Kwa sumaye ni 15000 Kwa square meters So hicho kiwanja uza milioni 9
  4. Negemu

    Ardhi Special thread

    Kibaha mkuu... Usafiri wa uhakika na haraka.. 2.lango kuu la kuingia jijini kutoka Mikoa yote kutoa Lindi na mtwara,thamani ya ardhi iko juu,na inapanda Kwa Kasi..chanika waswahili wengi.. viwanja vidogo sana ambavyo vitakuja kutengeneza mji mbovu na usiopangika baadae, pia Kuna mafuriko sana na...
  5. Negemu

    Ninunue kiwanja sehemu gani ndani ya Dar?

    Nenda Land General planning, Ofisi zao zipo kibaha jengo la CCM MKOA
  6. Negemu

    Iringa for the first time in my life

    Itakuwa unakuja kwenye maonesho ya utalii.. karibu kusini Pamechangamkaaa wageni wengi logde Bila booking unaweza kukosa
  7. Negemu

    Iringa for the first time in my life

    Maeneo tulivu nenda sunset hotel, backyard lounge, savanna,mount royal hotel,n.k Mziki nenda Miami, royal tour,warm up, luxury,n.k NB: Nitafute sinywi bia zaidi ya 4
  8. Negemu

    Waziri Mkuu, ingilia kati suala hili la VETA

    Fomu zinaendelea kutolewa Hadi tarehe 15-september, fika chochote kilichopo karibu uprwe control no.ulipie 5000 upewe fomu ujaze, au download fomu inapatikana kwenye tovuti ya veta www.veta.go.tz ujaze kabisa ndio uende nayo chuo chochote, orodha ya vyuo na fani zinazopatikana kwenye chuo husuka...
  9. Negemu

    Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

    Natafuta kiwanja kuanzia Kibaha na kongowe viwe vya miradi
  10. Negemu

    Wataalamu wa biogas mje huku

    Tunaomba mrejesho wa hii
  11. Negemu

    Wife kanifuma nimo kwenye group za Malaya wanaojiuza Telegram. Wenye uzoefu jinsi ya kumaliza hii issue

    Nenda Instagram search amber vale Instagram kwenye bio Kuna link
  12. Negemu

    Naomba kufahamu kuhusu mishahara ya walimu wa Veta

    Ameomba fani gani,Kuna waalimu aina mbili wenye certificate ya level 3 Ambao wanaitwa Assistant Vocational Teacher,kianzio basic haizidi 600,000 na wenye diploma ya fani yake Ambao ni Vocational Teacher II Ambao wanaanza na basic kianzio haizidi 780,000
Back
Top Bottom