Kibaha mkuu... Usafiri wa uhakika na haraka.. 2.lango kuu la kuingia jijini kutoka Mikoa yote kutoa Lindi na mtwara,thamani ya ardhi iko juu,na inapanda Kwa Kasi..chanika waswahili wengi.. viwanja vidogo sana ambavyo vitakuja kutengeneza mji mbovu na usiopangika baadae, pia Kuna mafuriko sana na...
Maeneo tulivu nenda sunset hotel, backyard lounge, savanna,mount royal hotel,n.k
Mziki nenda Miami, royal tour,warm up, luxury,n.k
NB: Nitafute sinywi bia zaidi ya 4
Fomu zinaendelea kutolewa Hadi tarehe 15-september, fika chochote kilichopo karibu uprwe control no.ulipie 5000 upewe fomu ujaze, au download fomu inapatikana kwenye tovuti ya veta www.veta.go.tz ujaze kabisa ndio uende nayo chuo chochote, orodha ya vyuo na fani zinazopatikana kwenye chuo husuka...
Ameomba fani gani,Kuna waalimu aina mbili wenye certificate ya level 3 Ambao wanaitwa Assistant Vocational Teacher,kianzio basic haizidi 600,000 na wenye diploma ya fani yake Ambao ni Vocational Teacher II Ambao wanaanza na basic kianzio haizidi 780,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.