Recent content by ndunajr

  1. ndunajr

    Tushirikishane Vijumba vya bei Rahisi

    wooh thats very nice yanii oooh kesho napiga msingi cha kupangisha hahaha
  2. ndunajr

    Tushirikishane Vijumba vya bei Rahisi

    Mie sijajua gharama hapa ila nia yangu kuona kama kuna wadau wanazo sample za vijumba kama hivi tujichagulie kwaa ajili ya kujenga.
  3. ndunajr

    Tushirikishane Vijumba vya bei Rahisi

  4. ndunajr

    Mungu mkubwa: Nimeokota nyumba Mbweni

    Nikatie kipande hapo Mwandege pana mvuto sana Mkuu, na li stendi la mikoa ya kusini linamwagika hapo.Fanya Jambo mkuu.
  5. ndunajr

    Mungu mkubwa: Nimeokota nyumba Mbweni

    Akienda ardhi atakuwa amekosa pa kulala(Watamuondoa), mwache kwanza ale bahati yake.Nyumba hajaiba aliambiwa aiangalie watakuja wapangaji kukagua. Sasa mwenye nyumba hajaja miaka kumi pengine hajapata mpangaji.Si kosa la mtani wangu mtoto wa NTWARA mwache ale maisha na isitoshe hajara mshahara...
  6. ndunajr

    Mungu mkubwa: Nimeokota nyumba Mbweni

    Wanaliita Zongo
  7. ndunajr

    Ni nani alimuua Mchungaji Mtikila?

    Kwa sababu ni mvivu wa kutotaka kuhangaika kujua yaliyojificha.
  8. ndunajr

    Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

    Ina maana na wewe ukiamka tu asubuhi unaanza kusikiliza redio?Kazi huna au ndo muda wa kuamka umefika lakini pa kwenda hamna?
  9. ndunajr

    Ya Nabii Tito, mahakama ya rufaa, kesi ya Dibagula na uhuru wa kuabudu

    Daa kwa anayejiita nabii Tito kwa logic hii hata mimi nimefunguka na kuona Tito hana hatia, kinachoendelea ni hisia tu za kuhisi Tito anatukwaza wakristo lakini ukimchukua Tito na kumweka kisheria sijui lakini hana shida. Kuvaa nguo yenye msalaba na kumbusu mwanamke kwenye eneo linalofanana na...
  10. ndunajr

    Rais uko wapi kuna wapigaji huku Sekondari ya Darajani, Moshi..

    Hilo halimuhitaji raisi nenda serikali ya mtaa au kwa mtendaji inatosha. Msimchose mwalimu wangu wa nidhamu JPM
  11. ndunajr

    CCM na Serikali inajifunza nini kwa Kenyatta kumruhusu Odinga kuapishwa? Wao hawana intelejensia kama ya kwetu

    kwa hiyo OK tuseme ameapishwa kuwa raisi huyo Odinga atakuwa raisi wa nani? tuseme ndio wa kenya je katiba inaruhusu kuwa na maraisi wawili kwa wakati mmoja? hairusiwi. Sasa hata kenyeta akisema mwachenii aapishwe huoni Odinga na watu Wake wanafanywa watoto? je huoni kuwa Kenyata hapo anatafuta...
  12. ndunajr

    Maeneo hatarishi Kwa Ajali Dar

    -Njia panda ya kawe ukiwa unatokea kawe na kuingia kulia kuelekea mbezi beachh mmmh hasa kama hakuna taa; -ukiwa unatoka kituo cha daladala airport kuelekea banana hapa kabla ya kuvuka barabara inayotoka airport terminal one kuja mjini wengi hawajui nani mwenye kipaumbele, mwenye kipaumbele ni...
Back
Top Bottom