Mfano Mimi sikopesheki Nina kazi na mshahara safi ila ofisi haidhamini mfanyakazi, afu ofisi ni nyingi tu. Elewa kudhaminika na mabenki sio hizi ofisi mdogondogo za mikopo.
Sawa nashukuru sana kwa tusi/matusi mkuu wangu. Uzuri jukwaa hili ni huru kwa ajili ya mawazo.
Lakini kusema kuwa mifuko ya jamii ipo tu kwa ajili ya kiinua mgongo uzeeni, ndio mawazo haya mgando kabisa yanafanya bara letu la Afrika linaendelea kuwa masikini kabisa. Hakuna flexibilities.
Mikopo mingi ni ya kuumiza sana na ni kwenye microfinance mabenki Wana masharti magumu. Wazo lako yawezekana lipo sahihi, ila kama huu mpango ukafanikiwa nakuambia watanzania wengi Wana wangepata kujikwamua
Sikiliza bro, wakati wewe unahangaika kutafuta viatu kumbuka wenzio hawana miguu, kuuza si dhambi lakini kwanini? Muite mdogo wako muongee taratibu umueleweshe akuelewe. Lakini pia ushauri wangu wa kininga ni kuwa, hivi eneo lako lina ukubwa Gani? Lakini lipo wapi? Kwa sababu wakati mwingine...
Najaribu kufikiri Mimi mswahili. Hivi kwa Nini Afrika hutuwezi kutumia akili nyingi kuwawezesha watu wetu.
Ishu ya mikopo hasa kwa watu walio na ajira, nimeona wengi pamoja na kuajiriwa kwao lakini hawawezi kudhaminika kwenye mabenki. Ofisi nyingi zinashindwa kudhamini wafanyakazi wake kupata...
Najaribu kufikiri kama Mswahili. Hivi kwa nini Afrika tushindwe kutumia akili nyingi zaidi kuwawezesha watu wetu kiuchumi?
Kwa mfano, suala la mikopo kwa watu wenye ajira. Nimeona wengi, licha ya kuwa wameajiriwa, bado hawawezi kupata mikopo kwa urahisi kwa sababu hawana dhamana zinazokubalika...
Uuze nyumba tena? Before you quit think why you started.
Lakini Siamini kuwa kukosa hata mia ndio ufikirie kuuza nyumba. Jikaze kiume hapo ulipofikia fosi tu uhamie kulaleki,halafu jishushe tafuta shughuri yoyote mkono uende kinywani.
Makazini Kuna mambo mengi sana, japo hatujui upande wa pili...
Akienda ardhi atakuwa amekosa pa kulala(Watamuondoa), mwache kwanza ale bahati yake.Nyumba hajaiba aliambiwa aiangalie watakuja wapangaji kukagua. Sasa mwenye nyumba hajaja miaka kumi pengine hajapata mpangaji.Si kosa la mtani wangu mtoto wa NTWARA mwache ale maisha na isitoshe hajara mshahara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.