Akienda ardhi atakuwa amekosa pa kulala(Watamuondoa), mwache kwanza ale bahati yake.Nyumba hajaiba aliambiwa aiangalie watakuja wapangaji kukagua. Sasa mwenye nyumba hajaja miaka kumi pengine hajapata mpangaji.Si kosa la mtani wangu mtoto wa NTWARA mwache ale maisha na isitoshe hajara mshahara...
Daa kwa anayejiita nabii Tito kwa logic hii hata mimi nimefunguka na kuona Tito hana hatia, kinachoendelea ni hisia tu za kuhisi Tito anatukwaza wakristo lakini ukimchukua Tito na kumweka kisheria sijui lakini hana shida.
Kuvaa nguo yenye msalaba na kumbusu mwanamke kwenye eneo linalofanana na...
kwa hiyo OK tuseme ameapishwa kuwa raisi huyo Odinga atakuwa raisi wa nani? tuseme ndio wa kenya je katiba inaruhusu kuwa na maraisi wawili kwa wakati mmoja? hairusiwi. Sasa hata kenyeta akisema mwachenii aapishwe huoni Odinga na watu Wake wanafanywa watoto? je huoni kuwa Kenyata hapo anatafuta...
-Njia panda ya kawe ukiwa unatokea kawe na kuingia kulia kuelekea mbezi beachh mmmh hasa kama hakuna taa;
-ukiwa unatoka kituo cha daladala airport kuelekea banana hapa kabla ya kuvuka barabara inayotoka airport terminal one kuja mjini wengi hawajui nani mwenye kipaumbele, mwenye kipaumbele ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.