ndunajr
Senior Member
- Apr 28, 2015
- 174
- 191
Wanaliita ZongoDah hujamwendea kwa Sangoma Wewe? Apotee mazima?
Wanaliita ZongoDah hujamwendea kwa Sangoma Wewe? Apotee mazima?
Akienda ardhi atakuwa amekosa pa kulala(Watamuondoa), mwache kwanza ale bahati yake.Nyumba hajaiba aliambiwa aiangalie watakuja wapangaji kukagua. Sasa mwenye nyumba hajaja miaka kumi pengine hajapata mpangaji.Si kosa la mtani wangu mtoto wa NTWARA mwache ale maisha na isitoshe hajara mshahara kwa miaka kumi, mwache ajilipe.Una documents zozote?
Unamfahamu ndugu au mtu wake yeyote wa karibu?
Nenda ardhi kwanza ukajue status ya documents
Nikatie kipande hapo Mwandege pana mvuto sana Mkuu, na li stendi la mikoa ya kusini linamwagika hapo.Fanya Jambo mkuu.Next week ngoja nikaangalie shamba langu,Mwandege.
Wenye mashamba yetu tujitahidi kwenda kuyatembelea.
Kuna mzee mmoja ana mashamba mbalimbali mpk mengine anasema hakumbuki location,imebidi amuachie mwanae wa kiume afuatilie kwa kupitia document zilizobaki ndani.
Huyo jamaa aliniroga ila najua Mungu atanirudiasha tu kwenye nyumba yangu ipo siku tuDah hujamwendea kwa Sangoma Wewe? Apotee mazima?
Hii miaka ya nyuma iliwahi tokea kwa profesa pekee kule kijijini kwetu alikuwa na maghorofa dar,na siku alikufa ghafla mpaka wa leo hamna anaejua mali zake zilipoNdio yale ya baba anajenga nyumba bila hata mke wake kujua. Matokeo yake hua hivi kama umekufa na mali imekufa
Alifariki aliletwa kuzikwa kijijini na wala kijijini hakuwahi kujenga hata nyumba ya tofali,alikuwa profIyo ilitokea pia maeneo ya mabibo Dar, kuna father mmoja alijenga nyumba kali kinoma akaimaliza akapiga adi vioo na vinishing yote.. alipoondoka hakurudi tena huu ni mwaka wa 8 unaenda wa 9. Nabhakuwai kuonekana ata ndugu watu wanaiogopa nyumba adi inaanza kuchoka rangi inakwisha
yakeNdio yale ya baba anajenga nyumba bila hata mke wake kujua. Matokeo yake hua hivi kama umekufa na mali imekufa
Tatizo na nyie mkijua mwanaume ana mali nyingi ndio visa huanza hapo!Ndio yale ya baba anajenga nyumba bila hata mke wake kujua. Matokeo yake hua hivi kama umekufa na mali imekufa
Hahaaaa hamna uoga wenu tu. Kuna siku nilienda kwenye msiba mmoja huyo kaka alifariki. Mke wake alikua anajua mumewe ana shamba huko mkuranga ila hakuwahi kufika na hata hajui ni mkuranga sehemu gani. Na hakuna hata ndugu aliyekua anajua. Kaacha mtoto mdogo bila hata mali ya urithi. Bahati nzuri wazazi wake wako vizuri na ndio mjukuu pekeeTatizo na nyie mkijua mwanaume ana mali nyingi ndio visa huanza hapo!
Na kama mwenye nyumba alikuwa muuza madawa ama anafanya vitu haramu na akakamatwa na yupo jela ama la.siku akitoka tu anakuja kwenge Nyumba yakeAkienda ardhi atakuwa amekosa pa kulala(Watamuondoa), mwache kwanza ale bahati yake.Nyumba hajaiba aliambiwa aiangalie watakuja wapangaji kukagua. Sasa mwenye nyumba hajaja miaka kumi pengine hajapata mpangaji.Si kosa la mtani wangu mtoto wa NTWARA mwache ale maisha na isitoshe hajara mshahara kwa miaka kumi, mwache ajilipe.
Mali ya dhuluma haina mwisho mwema! mwisho wake mbaya!Kisheria hio nyumba ni ya kwako!
Standard 7? Sema ukweli hapa JF umekuja kutaka nini......Kama kichwa cha habari kilivyoanza hapo juu wengi watafikiri labda ni utani lakini sio utani ni kweli.
Mimi nimezaliwa mtwara,mara baada ya kumaliza darasa la saba nikawa sina dili,nikawa niponipo tu kijijini lakini akili zangu zikinituma nitimkie dar kutafuta maisha.
Nikatafuta vibarua vya kupalilia mikorosho ili nipate nauli ya kwenda dar maana akili yangu haipo sawa nafikiria dar tu.ilikuwa nikiona vijana wenzangu wakija kijijini kutoka dar mambo yao safi,nguo nzuri wana fedha za kutosha.nikapiga mzigo nikapata 170,000/=
Mwaka 2010 nikanda gari pruuu mpaka dar,breki ya kwanza tandika sudani.nimeshukapa pale sina ramani nashangaa shangaaa sina pa kwenda.usiku ukaingia nikapata menu nikalala stand.
Siku ya pili nikakutana na jamaa mmoja katika kupiga story nikamwambia mm natoka mtwara kumbe na yy anatoka mtwara lakini mshikaji alikuwa anafanya biashara ya kuuza mayai.basi nikamwambia mm ndio nimeingia jana yake kutoka mtwara, akaniambia mjini kugumu nikwambia nataka nijumuike na yy tufanye biashara ya mayai akaniambia hakuna tatizo.mshikaji alikuwa anaishi mbagala mgeni nani.
Siku zikaenda vijihela vyangu vikaisha mtaji ukafa kwasababu ya mahitaji ya kujikimu kila siku.kutabalisha biashara tukauza nguo za mali kauli,tembezeza sana nguo kila sehemu dar lkn nikao nikazi ngumu wakati mwingine unaporwa nguo unaporwa hela.
2011 kuna jirani mmoja alikuwa ni fundi ujenzi akanishawishi niwe msaidizi wake ktk ujenzi nimwambia hamna shida.
Site ipo mbweni,basi wasaidizi walikuwa kama watano.nyumba ilikuwa ya ghorofa moja.nyota ilianza kuwaka baada bosi mwenyumba kuniambia niwe mlinzi wa malighafi za ujenzi,mshahara 100,000/= kwangu nilimshuru mungu sana,huku nalipwa kama kibarua na mwisho wa mwezi nadaka.
Yote kwa yote site ikaisha kila kitu boss akajenga kikota kidogo akaniambia nikae pale kama mlinzi na mshahara ukawa 150,000/=nikashukuru sana.mchana naenda kufanya daika waka nyingine usiku pakulala papo.
Mwisho wa mwezi ukifika boss anakuja na funguo za nyumba yote nafanya usafi na ananiletea mshahara wangu.
Mwezi wa kwanza alikuja kama kawaida,mwezi alikuja kama kawaida,mwezi watatu alikuja akaniachia funguo za vyumba vyote akaniambia nyumba anaipangisha kwahiyo nyumba iwe safi muda wote na nisitoke kwenda kokote ili akileta mteja apate kuikagua.
Basi nilikaa na funguo nisubiri boss alete wateja miezi minne ikapita kimya na mshahara wangu nilikuwa sijapata nikaamua kwenda hewani kumtafuta boss simu yake haipatikani. Miaka 10 imepita sijamuona boss na namba yake baada ya miaka ikawa amepewa mteja mwingine.
Mwaka jana niliamua kujilipua nikaamua kuipangisha ile nyumba 700,000/= kwa mwezi.mpangaji aliponiona nikamwambia mm ndio mwenyumba alikataa maana nipo kisela na nimechoka kimaisha.na hajui kinachoendelea kuhusu nyumba.
Swali ninalojiuliza yule boss yupo hai kweli maana miaka 10 imepita.wana nzengo au nimekosea kuipangisha.
Mwenye ushauri wowote anishauri
Kuna watu waaminifu sana dunia hiiMkuu hii hutokea nakushaurinendelea kuiangalia nyumba iko siku wahusika watakuja na vielelezo. Nina mfano mmoja juu ya hili.
Kuna jirani yangu pale kigamboni alikuwa na shamba kubwa sana kwa mazingira ya sasa yapata ekari kumi, mimi nilihamia lile eneo nilimkuta akiishi hapo na kila.mmoja alijua yeye ndie mmiliki wa lile eneo. Alikuwa analisafisha na kulima kila mwaka hakuuza hata squre meter moja ya lile shamba pamoja na dhiki aliyokuwanayo akiwa anaishi kwenye kibanda kidogo kilichochakaa. Sasa hivi majuzi kuna jamaa alikuja ndio hapo wengine tukafahamu kwamba jamaa alikuwa mlinzi aliwekwa pale miaka zaidi ya kumi na tano iliyopita kwa makubaliano ya mshahara wa sh 50,000 kwa mwezi. Baada ya jamaa kurudi majadiliano yakafanyika mlinzi akapewa ekari tano kama fidia na shukrani kwake kwani mwenye mali hakuamini kama jamaa yupo salama na hajauza hata sehemu ndogo ya lile shamba ilihali kila mmoja pale mtaani alijua kuwa ndie mmiliki.
Bongo nchi ya ajabu kweli!Kama kichwa cha habari kilivyoanza hapo juu wengi watafikiri labda ni utani lakini sio utani ni kweli.
Mimi nimezaliwa mtwara,mara baada ya kumaliza darasa la saba nikawa sina dili,nikawa niponipo tu kijijini lakini akili zangu zikinituma nitimkie dar kutafuta maisha.
Nikatafuta vibarua vya kupalilia mikorosho ili nipate nauli ya kwenda dar maana akili yangu haipo sawa nafikiria dar tu.ilikuwa nikiona vijana wenzangu wakija kijijini kutoka dar mambo yao safi,nguo nzuri wana fedha za kutosha.nikapiga mzigo nikapata 170,000/=
Mwaka 2010 nikanda gari pruuu mpaka dar,breki ya kwanza tandika sudani.nimeshukapa pale sina ramani nashangaa shangaaa sina pa kwenda.usiku ukaingia nikapata menu nikalala stand.
Siku ya pili nikakutana na jamaa mmoja katika kupiga story nikamwambia mm natoka mtwara kumbe na yy anatoka mtwara lakini mshikaji alikuwa anafanya biashara ya kuuza mayai.basi nikamwambia mm ndio nimeingia jana yake kutoka mtwara, akaniambia mjini kugumu nikwambia nataka nijumuike na yy tufanye biashara ya mayai akaniambia hakuna tatizo.mshikaji alikuwa anaishi mbagala mgeni nani.
Siku zikaenda vijihela vyangu vikaisha mtaji ukafa kwasababu ya mahitaji ya kujikimu kila siku.kutabalisha biashara tukauza nguo za mali kauli,tembezeza sana nguo kila sehemu dar lkn nikao nikazi ngumu wakati mwingine unaporwa nguo unaporwa hela.
2011 kuna jirani mmoja alikuwa ni fundi ujenzi akanishawishi niwe msaidizi wake ktk ujenzi nimwambia hamna shida.
Site ipo mbweni,basi wasaidizi walikuwa kama watano.nyumba ilikuwa ya ghorofa moja.nyota ilianza kuwaka baada bosi mwenyumba kuniambia niwe mlinzi wa malighafi za ujenzi,mshahara 100,000/= kwangu nilimshuru mungu sana,huku nalipwa kama kibarua na mwisho wa mwezi nadaka.
Yote kwa yote site ikaisha kila kitu boss akajenga kikota kidogo akaniambia nikae pale kama mlinzi na mshahara ukawa 150,000/=nikashukuru sana.mchana naenda kufanya daika waka nyingine usiku pakulala papo.
Mwisho wa mwezi ukifika boss anakuja na funguo za nyumba yote nafanya usafi na ananiletea mshahara wangu.
Mwezi wa kwanza alikuja kama kawaida,mwezi alikuja kama kawaida,mwezi watatu alikuja akaniachia funguo za vyumba vyote akaniambia nyumba anaipangisha kwahiyo nyumba iwe safi muda wote na nisitoke kwenda kokote ili akileta mteja apate kuikagua.
Basi nilikaa na funguo nisubiri boss alete wateja miezi minne ikapita kimya na mshahara wangu nilikuwa sijapata nikaamua kwenda hewani kumtafuta boss simu yake haipatikani. Miaka 10 imepita sijamuona boss na namba yake baada ya miaka ikawa amepewa mteja mwingine.
Mwaka jana niliamua kujilipua nikaamua kuipangisha ile nyumba 700,000/= kwa mwezi.mpangaji aliponiona nikamwambia mm ndio mwenyumba alikataa maana nipo kisela na nimechoka kimaisha.na hajui kinachoendelea kuhusu nyumba.
Swali ninalojiuliza yule boss yupo hai kweli maana miaka 10 imepita.wana nzengo au nimekosea kuipangisha.
Mwenye ushauri wowote anishauri
Sidhani kama ni bahati tu, maana inakuwa kama coincidence???.. "waswahili" wanasema hawa watu ukiwapa walinde au kukuangalizia kiwanja basi utatokewa na mambo kama haya, either usikuendeleze tena kiwanja au ukisahau kabisaNyumba za hivi zipo nyingi sana kunduchi mbweni na masaki wamakonde wanabahati hii sanaa