Wewe acha zako ZITO sio mpinzani ila amewapiga upofu hamjamjua tabia na mambo aliyonayo na anayofanya.katika wanasiasa ambao hawafai ni huyu ndugu yako.
ZITO hana lolote sisi tulio kigoma tunaona jinsi alivyo wagawa watu kwa udini maana anaeneza udini eti leo hii nae anajifanya kusema ukanda kama sio ni yeye!shame on you ZZK.
ACT nchi mnayoisema kuwa mnataka kushika ni TANZANIA au pale Mwandiga Kigoma ?maana si wseleqo kabisa nani anaweza kuwapigia kura labda hao wavuta bangi kama sele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.