Je hii laptop wakuu ipo vizuri kuhimili Gaming, ubora wake ni upi na uthaifu wake ni upi?
Kwa wanaofaham kuhusu mambo ya games kwenye pc. Kwa games za online (eg pubg) na offline pia.eg (far cry) na mengine.
Kwa mfano unaweza kuta pc iko na specs kama
Processor type: Intel core 2Duo
Processor Model: intel 6th gen core i7 au i5 nakuendelea
Sasa nataka kujua tofauti yake ni nini?
Ngoja nifuatilie vizuri, kma unavyosema lisije kuja kasha. Maan laptop naion n kubwa.
Na pia cjawah kununua chochote from Alibaba online, natakiwa kupata wataalam wazoefu wa hio platform ili niweze kupata taarifa sahihi. Nisije pigwa na kitu kizito
Ninapenda kuplay games n hobby yangu sanaa ila cina uelewa sana kuhusiana na vitu muhimu kweny pc vitavyosupport games nyingi kucheza Vizuri (napenda sana offline na online Action Games eg Pubg, )
Mfano umeelezea FPS, rtx gpu, na dlls na vp kuhusiana na core , naomba unielekeze hv vtu.
Nahitaji kuagiza gaming laptop moja from Alibaba (maana nimeona zina unafuu wa Bei kidogo)
, mwenye uzoefu anijuze, taratibu zake zinakuwaje. Na je Alibaba wanauza kitu kimoja kimoja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.