Recent content by ndoroma ndoroma

  1. N

    Imefika wakati watu tujikite kwenye biashara ya kununua HISA

    ningependa kufahamu kuhusu ufanyaji na uendeshaji mkuu wa biashara ya kununua issa mimi ni mwanafuzni wa chuo mwaka wa kwanza na ningepependa kuanza kujihusisha na huu uwekezaji huu. asante kwa ushirikoano wenu wakuu
  2. N

    Wakuuu..msituchuke kutushauri

    Hivi no vixuri Ku apply vyuo vingapi kma MTU ana division 2 ya 10 comb HGeconomic.... Na chuo kipi
  3. N

    Madhara ya kuoga maji ya chumvi

    Habari ya asaiv wakuu,, naomba ushauri kina madhara ya kuoga maji ya chumvi katika ngozi
  4. N

    Shule zilizoongoza 'kila somo' kwenye matokeo ya kidato cha sita 2018.

    Choice number ni mini kwny Ku apply form za udsm??
  5. N

    Choice number

    Samahani Kwa usumbufu, nauliza choice number inamaanisha kwny Ku apply chuo .
  6. N

    Natafuta mwanamke wa kuanza naye maisha

    Naweza kuomgea na we kupitia Facebook?
  7. N

    Tuition maeneo ya tegeta

    Kumbe ni.......sawa
  8. N

    Tuition maeneo ya tegeta

    Habari ya mchana ndugu zangu,, Mimi no mwanafunzi was form six nmemaliza018, napatikana Tegeta mivumoni,,Kwa wazazi wrote walio karibu na maeneo haya, ningpenda kuwajulisha kuwa naweza to a huduma ya kufudisha watoto wenu kuanzia darasa LA tano mpak form four,.asomo kma...
  9. N

    Sijaenda JKT kwa mujibu wa sheria

    Blaza blaza salaamu haina formula... Hats we unaweza kuazna
  10. N

    Course ngumu ndo course nzuri ,,mtaji was masikini ni nguvu sake mwenyewe

    Course gani ngumu na hukimbiwa na wengi chuoni inayohusiana na MTU anayechukua HGE....Msisite kuniambia maana nafanya ka research ,nataka kusoma course ngumu maana ndo itakuwa njia rahisi ya kupata Nazi hku nikifnya accumulation of capital kisha nije kujiajili
  11. N

    Course nzuri kwa mchepuo wa HGE?

    Brother naomba unisaidie kitu ....tofauti ya economic na finance mini?? Mbona nmeambiwa hkuna coz inayoiywa economic..Bali fiance inapokomaa ( masters) ndo hubadlishwa tu jina na kuitwa economic...kuna ukwel ndani take?
  12. N

    Course nzuri kwa mchepuo wa HGE?

    Kaka embu nieleze Kwa upande wako ..IPI in coz inayofaa...na unaweza kuniambia vipi kuhusiana na BUSINESS ADMIBISTRATION NA BUSINESS MANAGEMENT ZOTE NI SAWA...
  13. N

    Course nzuri kwa mchepuo wa HGE?

    Ila bro naona hujakosea sana...kuhusu tax...hata kina bro Wang nae alisoma hiyo hakukaa sana nyumbani....ila naomaba ushairi...Kina MTU ameniambia KUSOMA BUSINESS ADMINISTRATION NI NZURI ZAID NA kudai kwamba Tax inakua ndani take...embu Nile muongozo kdgo kuhusu hizi coz mbili
Back
Top Bottom