Being intelligent is a curse ! 😳 !
Duh 🙄 !
Kama kuna ka ukweli hivi especially ukizaliwa Third World Countries 😳 !
Wataambizana wakudhibiti ! Sio wakukaribishe kwao ili wapate madini uliyonayo kichwani !
Maajabu sana !
🙄 Duh 🙄 !
Na msitahafu si yupo 🤣 !
Kazi kweli Kweli !
Ngoja na Mimi niangalie the beneficiaries sides ili nitake side 😳 !
Maisha ni pamoja na kuangalia maslahi yangu !
Au nasema uongo ndugu zanguniii ??!
Ubabe Ubabe katika Nchi kama wanavyotaka wachangiaji wengine humu hauna Afya njema kwa mustakabali wa Nchi hii na Nchi yeyote ile Duniani !
Kwahiyo Mtu yeyote anayejaribu kuleta maafikiano na maridhiano kwenye mkwamo wowote ule kwenye Nchi hii au Nchi yeyote ile Duniani ni lazima apongezwe na...
Ma opp
Ma oppotrtunists huwa wana mbinu nyingi za kutetea maslahi yao !
Utadhani wapo na wanaotetea haki kumbe wanatetea maslahi yao !
Utawasikia wanasema kwenye siasa ni lazima uangalie masilahi yako ya Uchumi kwanza 😁
Maana yake ukubali hata kununuliwa ikibidi ili kwanza uchumi uwe bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.