Recent content by ndolelejiUduhe

  1. N

    JamiiForums Tanzania Itakuwa Ni Makosa Makubwa sana kumtoa Lissu Gerezani. Atakuja Kuligawa Taifa na Kuleta Uchochezi Mkubwa na kupandikiza Chuki na Uhasama kwa Watanzani.

    Akili ambazo kila siku anafurahia anapo muona mwenzie anateseka ! Duh 🙄 ! Hatari sana ! Ujinga ni mzigo !
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kosa kubwa alilolifanya Mwl Nyerere ni kusaidia mataifa ya kusini kupata uhuru. Mpaka leo hili kosa linatugharimu

    Ni kweli Chama kilikuwa kimeshika hatamu lakini hatukutishwa wala kukamatwa tulipokuwa tukiongea kuhusu jambo lolote ambalo tuliliona haliendi sawa !
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kosa kubwa alilolifanya Mwl Nyerere ni kusaidia mataifa ya kusini kupata uhuru. Mpaka leo hili kosa linatugharimu

    Kipindi cha Nyerere sisi tuliokuwepo tukiwa wanafunzi kisha tukawa wafanya biashara hatujawahi kuona hayo mateso au dhuluma ambazo zinaelezwa eti zilikuwepo 😁🤣 Kumbe ni kweli historia mingi katika hii dunia zimepotoshwa sana tena sana ! Sasa nataka kuamini hata baadhi ya maandiko...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kosa kubwa alilolifanya Mwl Nyerere ni kusaidia mataifa ya kusini kupata uhuru. Mpaka leo hili kosa linatugharimu

    Hakuwa mbele ya muda na ndio maana hakujilimbikizia mimali kede kede ! Au nasema uongo ndugu zanguni ???!! Maana wakati ule ilikuwa hakuna watu wa kulalamika lalamika kama sasa 😁 !
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kosa kubwa alilolifanya Mwl Nyerere ni kusaidia mataifa ya kusini kupata uhuru. Mpaka leo hili kosa linatugharimu

    The past has gone, forget it ! The future hasn’t arrived to hell with it ! The present is here use it 😳 ! Kwa Kisukuma Tunasemaga Yaliyopita si ndwele ! Tugange yaliyopo !
  6. N

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na ukimya wa viongozi wa kijamii: Je, Tanzania inaingizwa kwenye mtego wa machafuko ya kisasa? Kina Pasco Mayalla wako wapi?

    Duh ! Habari ndefu kweli kweli inajibiwa kwa sentence moja ya mwisho 😳 !
  7. N

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    W Wanaanzaje kwa mfano ?! Na kwa kutumia vifungu vya Katiba ipi ?!!
  8. N

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Y You bet ✅ you can say that again 🫡
  9. N

    JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Magufuli Walikataa, Rais Samia Usikubali Nchi Yoyote Kuingilia Sovereignty Yetu, Iwe ni US, UK or EU!, Kwani Marekani Ndio Nani, Nini?

    Kizazi kilichokuwa na uwezo wa kufunga mikanda hali ngumu inapotokea ni kizazi chetu BOMMERS ! Lakini wengine. 😳 Mmmmh ! Ngoja Tusubiri tuone !
  10. N

    JamiiForums Tanzania IGP Mahita: Said Mwema alipewa u-IGP kwa figisu

    Kila mtu humsifu yule aliyekuwa na maslahi naye au ana maslahi naye sasa au atakuwa na maslahi naye baadaye kidogo 😳 ! Si ndivyo wabongo wengi walivyo ??! Au nasema uongo ndugu zanguni ????!!!
  11. N

    JamiiForums Tanzania Familia ya Bernard Membe wavaana wakigombea mali. Iwe funzo kwa mafisadi wote

    Duh ! 😳 kazi kweli kweli ! Ngoja Tusubiri tuone ! Law of the universe !
  12. N

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Kweli kabisa ni Hatari sana !
  13. N

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Kwenye hili nakuunga mkono !
  14. N

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Kwakweli huko Kariakoo kumekuwa ni vurugu mechi! Ukitaka kukatiza barabara kwenda upande wa pili kwanza usimame Usali sala zote na ukumbuke kama ulishaweka mambo ya urithi sawasawa ndipo uvuke! Na haieleweki uvuke taratibu au mbio mbio kama bodaboda wanavyokwenda mbio kwenye barabara ya...
Back
Top Bottom