Kipindi cha Nyerere sisi tuliokuwepo tukiwa wanafunzi kisha tukawa wafanya biashara hatujawahi kuona hayo mateso au dhuluma ambazo zinaelezwa eti zilikuwepo 😁🤣
Kumbe ni kweli historia mingi katika hii dunia zimepotoshwa sana tena sana !
Sasa nataka kuamini hata baadhi ya maandiko...
Hakuwa mbele ya muda na ndio maana hakujilimbikizia mimali kede kede !
Au nasema uongo ndugu zanguni ???!!
Maana wakati ule ilikuwa hakuna watu wa kulalamika lalamika kama sasa 😁 !
The past has gone, forget it ! The future hasn’t arrived to hell with it ! The present is here use it 😳 !
Kwa Kisukuma Tunasemaga Yaliyopita si ndwele ! Tugange yaliyopo !
Kila mtu humsifu yule aliyekuwa na maslahi naye au ana maslahi naye sasa au atakuwa na maslahi naye baadaye kidogo 😳 !
Si ndivyo wabongo wengi walivyo ??!
Au nasema uongo ndugu zanguni ????!!!
Kwakweli huko Kariakoo kumekuwa ni vurugu mechi!
Ukitaka kukatiza barabara kwenda upande wa pili kwanza usimame Usali sala zote na ukumbuke kama ulishaweka mambo ya urithi sawasawa ndipo uvuke!
Na haieleweki uvuke taratibu au mbio mbio kama bodaboda wanavyokwenda mbio kwenye barabara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.