Ubunifu na Maarifa ya kizazi kijacho kweli yanazidi kufa lakini 20% ya watz , Hata nchi zilizoendelea kamari ni sehemu ya Maisha ya watu , uzuri kamali ni option
Hata Mimi naicheza kama hizi sportbetting nakula Hela na kusomesha watoto na familia inakula
Dunia hii Ina Mungu ndio...
Mkuu ujasiri tumefundishwa tukiwa wadogo Maana Huku kwetu ukifikisha Miaka 18 enzi za nyuma lazima ujue kutumia Mkuki na Mshale Ili kwenda kupambana na wezi wa ngo'mbe polini
Hali ya Amani katika nchi yetu imetoweka kabisa watu wanaishi Kwa hofu, Leo usiku saa 8 :43 Vibaka walivamia kwangu walikuwa 9 , Wakaweka Mawe Makubwa Kwenye Milango yote.
Nafuga kuku na Kanga , wakaingia Kwenye Banda la kuku, Nikasikia Kanga wanapiga kelele nikachukua slaha yangu , nikazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.