David kafulila ni Kama mchanbuzi wa soka atachambua sana Mpira lakini mpeleke uwanjani ni vituko vitupu David kafulila ni msemaji mzuri wa msuala mbalimbali na anajua kujenga hoja namfamu Toka akiwa sekondali lakini si mtendaji mzuri kwanza ni mvivu kwa Kila kazi afanyayo ila ni mtaalamu wa...
Paschal mayala ndie mtu wa hovyo kuwahi kutokea jamiiforum anasifia. anaponda.utampenda kukiwa na kaharufu ka uteuzi hapo ndipo Sasa jina la mayala linapochukua nafasi yake
Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
Kama kweli jeshi letu lina watu wenye vyeo vya hadhi ya luteni wa jeshi mwenye akili kama ya urio naanza kupata mashaka na jeshi letu
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Huyo msomi amejibu kiu yangu na nimejifunza. Kitu kutoka. Kwake. Na ni ukweli mtupu lakini tatizo sio viongozi tu hata sisi wananchi kuna sehemu hatuko sawa vichwani kuna jamaa mmoja alimnunulia mchepuko wake simu ya raki 3 huku akiwa na.deni LA kodi ya nyumba na ilihali yy. Mwenyewe simu yake...
Gwajima anatuhumiwa kutoa rushwa ya neno la mungu kuwahonga waumini wake iliwasichanjwe chanjo iliwaugue kolona waende kanisani kuombewa kwa dau kubwa kwa lengo LA kujiingizia kipato hapo ndio takukulu wanapohusika
Hata Mimi bado najiuliza hivi anapowadanganya waumini wake na wanapiga vigelegele akiri wanakua wamepeleka wapi jamani hivi kwenye jukwaa hill hakuna muumini wa gwajima aje atuambie wakati bwana gwajima anapojimwambafai kanisani.akiri zake yeye binafsi anakua amepeleka wapi?
Askari wrote waliokufa vitani ni 614 ikiwa nipamoja na askari wa kigeni waliokuka kutupa msaada angalalia vizuri mnara wa mashujaa wa vita ya Uganda kaboya uliopo mkoani kagera
Gwajima kwa hill ni gaidi serikali imufungulie mashitaka ya kukaidi na kuhamasisha wananchi kupinga chanjo ya covid19 huku yeye akiwa hana njia mbadala kwa maana hiyo ni saws na kuhamasisha wananchi tufe wala tusikimbie hatua hata moja kunusuru maisha yetu
Kwa kweli ni siamini japo kuna kaka yangu Siku moja alikua kaenda kwa rafiki yake usiku kachelewa kuludi akatoka huko SAA 7 usiku wakati analudi anasema alipofika mitaa fulani Malibu na uwanja wa shule ya msingi aliona jitulefu urefu wake km mnala wa simu limesimama mguu pande anasema distance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.