utajua wapumbuvu kwa ufinyu wa fikra kutetea escrow ni ushenzi na laana ambayo hawa wana haramu wa maccm wataujutia baadae. Mizigo imezaa lumbesa ndo haya mnayo yaona vyuo vikuu
Nichukufursa hii kuwaletea mahojiano yangu na Kamanda BUJIKU ambaye ni mratibu wa chadema kanda ya ziwa magharibi. KUHUSIANA NA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Kamanda wewe ni mzaliwa wa wapi? Bujiku,mimi ni mzaliwa wa Kijiji cha Lugeye, Wilaya ya MAGU.
Je unafamilia? ndiyo ni na mke na watoto...
Mbona kuhangaikia utafiti wa dr.bana amabaye ni kila wa ccm? si alikuwa mshauri wa rais mambo ya siasa wakamtema anajipendekeza muda ukiwa umeisha. that is a stupid business of the same fool.
kuna tatizo kubwa na uelewa kwa huyo nepi nauwe,amejaza mawazo mgando na hofu kubwa ya kupoteza kitumbua mwaka kesho kitu ambacho ni hakika watapoteza tu. haja yao kubwa nikutaka kubaki na daftari la wafu lililojaa vivuli vinavyoishi, kauli yake na chama chake vinapaswa kulaniwa sana.
ukitumwa mtu wa kufananisha na sokoine utapeleka hili tapeli lililokwapua pesa za epa na sasa limesaidia kutoweka kwa bilioni 200 za escrow acha uchizi mmelaani wa maccm kwa kufuta azimio la arusha laana hii itawatafuna nyie na kizazi chenu
Diwani wa CHADEMA Kata ya Nyamanoro Ilemela Mwanza ,Bwana Abubakari Mwombeki Kapera leo amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Mwanza ili kujibu shitaka linalo mkabili la tuhuma ya kumfungia ndani ya ofisi Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela.Bahada ya kusomewa shitaka hilo Diwani alikana...
Diwani wa CHADEMA kata ya Nyamanoro Ilemela Mwanza bwana ABUBAKARI KAPERA,anatarajia kufikiswa mahakamani kutoka na tuhuma ya kumfungia ndani ya ofisi Mkurugenzi wa halimashauri ya manispaa ya Ilemela Mwanza.Itakumbukwa kwamba kutokana na mchezo mchafu wa CCM,na Mkuu wa Mkoa wa MWANZA Eng...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.