Habarini wakuu,nipo Mkoani huku na baada ya kuhangaika sana kutafuta biashara kwa ajili ya kipato cha ziada. Nimegundua kua biashara ya rasta za wadada inatoka sana,ninaomba mwenye abc juu ya biashara hii tuwasiliane kwa namba hapo chini, lengoni kujuzwa wapi kwa Dar ntapata mzigo wa jumla na...
Rukwa ni Mkoa na Nkasi ni moja kati Wilaya 3 za huu Mkoa wa Rukwa.namanyere ni Kata na ndipo makao makuu ya Wilaya ya Nkasi....... karibu sana Rukwa mkuu
Mkuu nenda Mpanda,sie tupo Sumbawanga huku lakini Mpanda imechangamka sana........Kingine ipo karibu Dom,Tabora,Mwanza na Shinyanga pia hapo kuna Machimbo ya dhahabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.