Mkuu acha tu na yule dada kuna kipindi hua silaumu sana kwani aliingia kwa miguu yote,sasa maneno ya ndugu zangu yalimchefua zaidi kiasi hakua naa namna ya kusort out hii changamoto
Hata sina namba yake ila mwaka jana nilionana nae Wizarani Dodoma katika Warsha moja hivi.......... Aliniangali na kama alitaka kunisemesha ila mie nikawa uso wa mbuzi.............,.. kama uko Serious namba yake ni rahisi kuipata
Mkuu umenikumbusha mbali kidogo....... Namie naomba kushare cha kwangu
Ilikua hivi Mwaka 2017,nilipata kazi sehemu flani ni NGO,baada ya kupata hii kazi bwana nikaanza rasmi M&E Coordinator,na nilianza kwa mbwembwe kweli ila walikua wanashindwa kunielewa coz hua nina formula yangu hii(I come i...
Dah!!!!! Nilidhani kwa umri wangu huu nshamaliza kuona upuuzi wote duniani😂 nakupa namba za Paul Bia wa Cameroon,then umuulize kua anawezaje kuongoza nchi na wakati anaishi Ufaransa,au ndio TAL huyu?
Baby❤️ usijali kabisa,yaani nitakujengee nyumba ya kisasa...... Mabati chini na msingi wa nyumba utakuaa juu🤣 we nipe make libolo FC itauma sana mpaka naeza enda lazwa
Mkuu nadhani haupo sawa...... Yaani mkurugenzi wa WHO mie nisimfahamu? Kaingia Jumapili Dodoma then Jumatatu akaja ofisini,kisha akaelekea Chamwino mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.