Mtu alie move on anaonekana kwa matendo na sio kila ukirushiwa dongo unaenda kutafuta public sympathy hiii ni blackmail! Angetambua thamani yake na yeye angekuwa ametulizwa na huyo kigogo wanaomficha na sio kujilalamisha mitandaoni kila siku! Diamond na Jokate mbona ni washkaji hadi birthday...
Hizi team hadi huku zimefika kweli huyu dada image inachafuliwa na hawa wanaojifanya team wema, unapokuja mtandaoni bila facts na kuanza kukebehi maoni ya watu unasahau kama yule ni kioo cha jamiii kujadiliwa ni lazima sioni kama kuna sababu ya nyie team fulani kutengeneza uhasama usiokuwa na...
Wahusika kama ni cwt au na yeyote jukwaani anae elewa kuhusu hili suala la bank ya walimu naomba kupewa mwanga kidogo, nini faida yake kwa mwalimu?ununuzi wa hisa pia ukoje?matawi hadi sasa yameshafunguliwa mangapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.