Recent content by Ndevu9

  1. Ndevu9

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nipo kigoma uvinza nataka kuja moro au pwani wilaya yeyote!!
  2. Ndevu9

    Selection Kidato cha Tano 2014/2015: Majina yote haya hapa

    Naomba kuuliza kama kuna aliye na majina ya wanafunzi wanaoenda form v naomba uniibox please!!!
  3. Ndevu9

    Orodha ya Majina ya Wajumbe wa Bunge la Katiba hii hapa

    Limejaa mprof na watu maarufu na watoto wa watu maarufu,cdhani kama ni la watanzania halisi kabisa!!!!
  4. Ndevu9

    Mtei amuangukia Zitto Kabwe, adai ni mwanasiasa jasiri

    Nipe chanzo cha habari ili nisome habari kamili
  5. Ndevu9

    Januari Makamba adai CCM wataimaliza CHADEMA

    C msene Ukweli tu shida ni Pesa za ruzuku na Kutangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama,hakuna kiongozi wa upinzani wa ukweli woote njaa tu ndio zinawasukuma!!
  6. Ndevu9

    CHADEMA washtukia mchezo mchafu unaofanywa na CCM!

    Ukweli wa hayo unayoyasema lakini pia taifa letu lina mambo mengi ya kujadili kuliko hayo ya watu kujiuzuru nk.
  7. Ndevu9

    CHADEMA washtukia mchezo mchafu unaofanywa na CCM!

    Andikeni mambo ya msingi!!!
  8. Ndevu9

    Zito,Mkumbo na Wenzake kufanya mkutano na waandishi wik ijayo

    Mkumbo hawezi kuwa mpinzani wa chama tawala hata siku moja, kwani historia inaonyesha wazi kuwa ni pandikizi la CCM. Tangu akiwa kiongozi wa wanafunzi UDSM ndiyo style yake, yakuwaonyesha yuko na nyinyi lakini kumbe yuko na wale zaidi. Tangu amejiunga CHADEMA mimi sikuamini yuko pamoja nao...
  9. Ndevu9

    CHADEMA, uislam na waislam!

    Hapo lazima lifanyike jambo kwenye hicho chama chenu,kwani hakuna hata jAmbo moja ambalo linaonesha kuwa kuna uislam na ya Chama,kwakua kila kitu kinachofanyika ni kama maagizo ya maasikofu na mapadrii,utakuta tamko la chama linaungwa mkono na kuandikiwa waraka kabisa,hii ni hatari tuepuka sana...
Back
Top Bottom