Recent content by ndeto

  1. ndeto

    Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

    Huyu shahidi hajui uchunguzi wa maabara lazima matokeo yote uyandike iwe positive au negative
  2. ndeto

    Zitto Kabwe amuomba Rais Samia amuachie Mbowe

    Zitto ni janjajanja hana lolote
  3. ndeto

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

    Nawapongeza mawakili upande wa utetezi wakiongozwa na Kibatala kwanamna wanavyoibua hoja za kisheria na Mahakama kupwaya katika maamuzi yaliyo wazi
  4. ndeto

    Barabara ya Kimara vs kibaha kuwekwa matuta kwenye vivuko vya watu karibuni

    Kwa kweli kuweka matuta kwa karne hii haifai kabisa, tatizo lipo kila upande kuna baadhi ya madereva kweli hawasimami kwenye zebra na pia kuna baadhi ya watembea kwa miguu hawatumia vivuko kama daraja pale mbezi mwisho unakuta mtu anavuka chini ya daraja ingawa wamezuia na kamba kwenye yale...
  5. ndeto

    Ni matumaini yangu wana CHADEMA wote si tu mmemsikia bali mmemuelewa vyema tu Kada wa CCM Pascal Mayalla

    Sawa kabisa katiba ni yetu wananchi na nihitaji letu wananchi, sasa ni wapi tupate majukwaa sahihi ya kudai katiba mpya
  6. ndeto

    Ni matumaini yangu wana CHADEMA wote si tu mmemsikia bali mmemuelewa vyema tu Kada wa CCM Pascal Mayalla

    Kwani hitaji la katiba mpya ni la wananchi au Chadema
  7. ndeto

    Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

    Gari zipo nyingi za uchumi wa kati ni wewe unapenda nini
  8. ndeto

    Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo mfanyabiashara Alhaj Aliko Dangote

    Msigwa naye anatuchanganya ivi Waziri wa viwanda na biashara ni nani au kuna mabadiliko
  9. ndeto

    Nissan Dualis inagonga ukikata kona

    Nakubaliana na wewe hata kwenye nissan navara na hardbord hua zinatoa mlio huo ukikata kona kuzidi angle hata hivyo arudi tu kwa fundi amchekia hiyo CV joint maana kwa hizo gari za nissan mara nyingi rubber boot ikipasuka huwa CV joint zake zinaharibika mpaka uweke nyingine mpya hata fundi...
  10. ndeto

    Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

    Uzuri Mungu kaamua kuliponya taifa TRA wameshaonywa na Rais waache ubabe huo waliokuwa wanautenda
  11. ndeto

    CAG: ATCL imetengeneza hasara ya Tsh. Bilioni 153.542 ndani ya miaka Mitano

    Kazi yao ilikuwa kusifia tu kumbe hasara kwa taifa
Back
Top Bottom