Kwa kweli kuweka matuta kwa karne hii haifai kabisa, tatizo lipo kila upande kuna baadhi ya madereva kweli hawasimami kwenye zebra na pia kuna baadhi ya watembea kwa miguu hawatumia vivuko kama daraja pale mbezi mwisho unakuta mtu anavuka chini ya daraja ingawa wamezuia na kamba kwenye yale...
Nakubaliana na wewe hata kwenye nissan navara na hardbord hua zinatoa mlio huo ukikata kona kuzidi angle hata hivyo arudi tu kwa fundi amchekia hiyo CV joint maana kwa hizo gari za nissan mara nyingi rubber boot ikipasuka huwa CV joint zake zinaharibika mpaka uweke nyingine mpya hata fundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.