Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

Kuna watu wanadhani Kibatala na wenziwe wanafanya kazi bure. Ukweli ni kwamba mawakili wa utetezi wanajua kumuokoa Mbowe ktk tatizo hili ni kupambana kuwatoa hatiani washitakiwa no. 2 na 3. Hatima ya Mbowe inashikiliwa na maelezo ya watu hawa na mapingaamizi yote ni kujaribu kufanya kukiri kwao kusikubaliwe na mahakama. Hii ndio kazi ya Wakili wakati mwingine, kuhalalisha ukweli kuwa uongo kutumia vifungu hivyohivyo vya sheria. Ajabu kusikia watu wanashauri wajitoe.
 
Kuna watu wanadhani Kibatala na wenziwe wanafanya kazi bure. Ukweli ni kwamba mawakili wa utetezi wanajua kumuokoa Mbowe ktk tatizo hili ni kupambana kuwatoa hatiani washitakiwa no. 2 na 3. Hatima ya Mbowe inashikiliwa na maelezo ya watu hawa na mapingaamizi yote ni kujaribu kufanya kukiri kwao kusikubaliwe na mahakama. Hii ndio kazi ya Wakili wakati mwingine, kuhalalisha ukweli kuwa uongo kutumia vifungu hivyohivyo vya sheria. Ajabu kusikia watu wanashauri wajitoe.
Kuna vitu vinatia kinyaa hasa vinapofanywa na mtu aliyeaminiwa kuwa ni msomi. Yaani mwanafunzi akamatwe na karatasi yenye majibu ya mtihani wenyewe pamoja na simu kwenye chumba cha mtihani halafu msimamizi aseme eti " kwakuwa hakuonekana akivitumia hakuna shida. Hivyo ni vitu vyake binafsi". Yanakasirisha sana.
 
Mkuu cheche moja husababisha moto wa kuteketeza msitu. Tone moja husababisha mtiririko wa mito yanayojaza bahari. Tutafika huko siku moja.
Siyo kwenu nyie wanywa viroba. Hicho chama chenu ni chama cha wachaga. Je kuna mchaga jasili Tanzania hii. Mmeshindwa hata kuwatimizia wake zenu unyumba leo hii mpate ujasili wa kuitikisa serikali!!

Mara ngapi mnatishia kuandama wanamme wanatoka na ufagio kufagia mitaa mnanywea? Hao wapiga kelele wenu wako huko kwa mabwana zao ulaya. Waje huku uwanja wa mapambano tutambue ujasli wao.
 
Siyo kwenu nyie wanywa viroba. Hicho chama chenu ni chama cha wachaga. Je kuna mchaga jasili Tanzania hii. Mmeshindwa hata kuwatimizia wake zenu unyumba leo hii mpate ujasili wa kuitikisa serikali!!

Mara ngapi mnatishia kuandama wanamme wanatoka na ufagio kufagia mitaa mnanywea? Hao wapiga kelele wenu wako huko kwa mabwana zao ulaya. Waje huku uwanja wa mapambano tutambue ujasli wao.
Ukiwa mkabila hivi unafarahia nini!!? Tukisema na wewe ni msukuma utabisha?
 
Siyo kwenu nyie wanywa viroba. Hicho chama chenu ni chama cha wachaga. Je kuna mchaga jasili Tanzania hii. Mmeshindwa hata kuwatimizia wake zenu unyumba leo hii mpate ujasili wa kuitikisa serikali!!

Mara ngapi mnatishia kuandama wanamme wanatoka na ufagio kufagia mitaa mnanywea? Hao wapiga kelele wenu wako huko kwa mabwana zao ulaya. Waje huku uwanja wa mapambano tutambue ujasli wao.
Haiyumkini unataka kujulikana Kama mlemavu wa ubongo ili upatiwe msaada! Huu ukabila unaounadi naamini umekujaa pomoni ndani ya fuvu lako na hapa unajaribu kuutapika ili kuupunguza!
Waonaje upuuzi huu ukabaki nao na ama ikikupendeza uwaandikie wasukuma wenzako wanaoulea usukuma wao?
Ulikwenda shule kufanya Nini Kama Hadi Leo unaongelea ukabila wa mtu? Au unataka kuja na fani Yako pendwa ya matambiko? Una shida nyingi Sana ubongoni mwako!
 
Kuna watu wanadhani Kibatala na wenziwe wanafanya kazi bure. Ukweli ni kwamba mawakili wa utetezi wanajua kumuokoa Mbowe ktk tatizo hili ni kupambana kuwatoa hatiani washitakiwa no. 2 na 3. Hatima ya Mbowe inashikiliwa na maelezo ya watu hawa na mapingaamizi yote ni kujaribu kufanya kukiri kwao kusikubaliwe na mahakama. Hii ndio kazi ya Wakili wakati mwingine, kuhalalisha ukweli kuwa uongo kutumia vifungu hivyohivyo vya sheria. Ajabu kusikia watu wanashauri wajitoe.
kabisa mkuu tena ni 100%......
Shida wa Tanzania wengi wetu, Maswala ya sheria hatujui kitu.
 
Siyo kwenu nyie wanywa viroba. Hicho chama chenu ni chama cha wachaga. Je kuna mchaga jasili Tanzania hii. Mmeshindwa hata kuwatimizia wake zenu unyumba leo hii mpate ujasili wa kuitikisa serikali!!

Mara ngapi mnatishia kuandama wanamme wanatoka na ufagio kufagia mitaa mnanywea? Hao wapiga kelele wenu wako huko kwa mabwana zao ulaya. Waje huku uwanja wa mapambano tutambue ujasli wao.
Wewe ubongo wako ni duni. Mara nyingi kweli serikali imetishia na wakanyamaza, Kama ilivyokuwa Sudan, lakini fukuto la watu likirundikana, cheche ndogo tu inawasha moto. Dhulma inayofanyika Kama wewe unanufaika nayo, Kuna siku hutanufaika nayo.
 
Siyo kwenu nyie wanywa viroba. Hicho chama chenu ni chama cha wachaga. Je kuna mchaga jasili Tanzania hii. Mmeshindwa hata kuwatimizia wake zenu unyumba leo hii mpate ujasili wa kuitikisa serikali!!

Mara ngapi mnatishia kuandama wanamme wanatoka na ufagio kufagia mitaa mnanywea? Hao wapiga kelele wenu wako huko kwa mabwana zao ulaya. Waje huku uwanja wa mapambano tutambue ujasli wao.
HAWQWEZI KUSUBUTU KWANZA WAUME ZAO HAWAWEZI KIUWA RUHUSU
 
Back
Top Bottom