Recent content by Nderero

  1. N

    Mnyika akielezea Ilani ya chadema/ukawa ITV sasa ivi

    Watanzania tuchague Sera za UKAWA. Election manifesto yao yatia moyo kuleta mapinduzi ya fikra za wananchi na mifumo ya serikali.
  2. N

    CCM waanza kampeni mapema kabla ya muda wa NEC, watuma ujumbe mfupi kwa watu

    Hata Kiswahili hawajui.; "ahaidi" "Risi"
  3. N

    Ubalozi wa Tanzania Algeria, upo Paris Ufaransa

    Nincompoop !! Tunazungumzia suala la msingi unatoa jibu jepesi km hujaona mlango wa darasa! Uarabu hapa inahusu nini? Anyway, msimamo kama wako ni tatizo pana sana linalogusa sehemu kubwa ya wa TZ hasa watawala (na sio viongozi) wetu. Ndiyo maana ubalozi wetu Algeria uko kwa wakoloni na sio Algeria!
  4. N

    Prof. Tibaijuka: Nijiuzulu kwa lipi?

    Tezi dume imeshaondolewa hana maumivu tena! Kwani huko nyuma aliwahi kufanya maamuzi bila kushinikizwa? Hovyo tuu!!
  5. N

    Hivi taasisi ya Mwalimu Nyerere inayoendeshwa na butiku na warioba huwa inalipa kodi

    Stupid questions!!!!! Grrrr!! Hata km hawalipi, what is your problem? Mbona hulalamiki akina Patel wakipewa exemption?
  6. N

    Government of Tanzania reaches to IMF to fix budget after aid cut

    Serikali ikijipanga vizuri hatuhitaji fedha za wafadhili. Tuache kutoa misama ya kodi na kukusansa kodi stahili, tuondoe matumizi ya dola mitaani, tukabiliane na illicitly financial flows, kuondoa safari za JK na misururu ya wafuasi isiyo na tija, kubana milango ya rushwa na kuimarisha...
  7. N

    Mrema kwisha kazi Vunjo, Ngome yake yameguka na kumuunga mkono Mbatia

    Mrema ni mbunge wangu lakini amenisaliti kwenye mchakato wa katiba. Wasaliti wote wapigwe chini. Mbatia oyeee!!!!
  8. N

    Niko kwenye Jeshi la akiba la wanajeshi wa Tanzania, Utaninyimaje haki ya uraia EX-POLICE wako?

    Mazao ya wakulima yanauzwa kwa magendo na viongozi uchwara!! Wezi wakubwa wenye akaunti nje ya nchi!!!
  9. N

    Niko kwenye Jeshi la akiba la wanajeshi wa Tanzania, Utaninyimaje haki ya uraia EX-POLICE wako?

    Pumbavu sana!!! Acha kuropoka km umelogwa na ujinga wa CCM. Angalia kiwango Cha 'remittances' ambazo TZ Diaspora inaleta nyumbani kila mwaka, idadi ya ndugu na jamaa wanaosaidiwa na diaspora, assets zinazowekezwa nyumbani nk...
  10. N

    Dr. Kitila Mkumbo awa Profesa

    Pumbavu! Product ya shule za kata! Shame!
  11. N

    Mahusiano yetu na Urusi yamekufa au bado yapo?

    Tatizo sio nchi yetu ya TZ, tatizo ni Rais wetu na timu ya mambo ya nje ambayo hawajui tulikotoka wala tunapokwenda!!! Wako busy kutafuta kuingia Ikulu lkn hawajui baada ya kuingia watembeeje huko Ikulu!!!
  12. N

    Kikwete ni kiongozi wa ajabu asiyeweza kujisimamia

    Km washauri wake hawana uwezo kwa nini aliwachagua ? Hiyo inadhihirisha uwezo mdogo aliokuwa nao JK. Kwa mantiki ya Prof Palamagamba, ambayo naikubali 100% JK ni -------- tu na ametuyumbisha sisi wa Tanzania kiasi Cha majority ya circle yake nayo ni wapumbavu tuu, tena sana
  13. N

    Mdahalo wa Mwl.Nyerere foundation kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa Ubungo Plaza

    Afadhali umekubali kuwa mjinga ukaelimika hukung'ang'ania upumbavu
Back
Top Bottom