kumwita mtu mpumbavu sio dhambi wala kosa kama kweli ni mpumbavu. biblia na koran zimewaita watu wapumbavu kwa kuwa walifanya upumbavu,waziri mkuu kutoa kauli kama hizo zaidi ya mara moja ni ishara ya kuwa anaweza kuwa kweli mpumbavu au muuaji kama pilisi watatimiza maagizo yake
samahani mimi naoma nimuulize mtoa mada hvi ishu ya EPA, RICHMOND NA STEVEN ULIMBOKA serikari iliyopo madarakani(ccm) imewambia nini watanzania au tuseme serikari imefikia wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.