Tulieni, acheni upuuzi wenu, Tz inahitaji na inao watu makini, waadilifu na wenye machungu na nchi km Dk. Mwakyembe, hvyo ninyi mnaompinga kutokana na kuwalinda mafisadi wenu papa kwa maslahi yenu na kutumia nguvu kubwa kumchafua Dk. mwakyembe kwa sbb ya maslahi ya kuwalinda wahuni wenu mkome na...
Waliohusika kuutangazia umma uwongo kwa kutumia media kwa ajili ya kujipendekeza kwa Jpm ili waonekane wanajituma kufanya kazi(TRA)wakamatwe washughulikiwe. Makontena 9 kumbe safii iweje tunachafuana badala ya kulifanyia kazi kwz kisha tuje mbele ya media tukiwa na ushahidi uliokamilika.
Jitihada ba juhudi hizo kubwa za Jpm ni muhimu kuungwa mkono licha ya baadhi ya watu kulia na wengne kucheka kwani hali ya kiutendaji, ufisadi na rushwa ndani ya Serikali ni mbaya sana hususani vijijini kwa watendaji, kata Wdc, halmashauli za wilaya ni mbaya sana hvyo kila jitihada inapaswa...
Hivi karibuni kumeibuka nakundi ya aina tofauti,yenye kumuunga mkono mh. Rais na Serikali yake na yenye kupinga na kupotosha mazuri yake. Watz tuna kila sbb ya kuunga mkono jitihada na harakati zote za mh. Rais zenye kurudisha imani kwa wananchi kwa serikali yake na chama chake Ccm.
Huyu ndie...
Na kama ni uchafu ni wa mtu mmoja mmoja ambao hata vyama vya upinzani wamo watu wachafu,tuondokane na upuuzi wa kuona wanachama na viongozi wa vyama vya upinzani ndo wasafi la hashaa tutakuwa tunajidanganya
Wiki hii Vikao vya CCM vya mchujo na mapendekezo na hatimaye kumpata Mgombea Urais kwa kuchaguliwa na mkutano mkuu wa CCM Taifa July 12,Jpili wiki ijayo.
Rai yg kwa viongozi na matarajio ya Watanzania wana CCM na wasio wanachama wa CCM ni kuona na kusikia viongozi hao wa chama tawala...
Kamati kuu ccm ni watu makini naamini watafanya kazi nzuri na kutupatia jina la mtu makini na sio huyo aliyetumia mapesa mengi kushawishi na kutuaminisha eti anakubalika kumbe uhuni mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.