Snapchat kweli uongo ila sijawahi kuitumia ila najua tu ni ya wanawake kuji edit picha ila tiktok nakukatalia tiktok wako vizuri sana kikubwa usifollow ovyo watu wa ovyo follow your niche na itakuletea content zako….meta ukiondoa Facebook hamuwez TikTok yaani tiktok isimame na instagram aisee...
Sawa huwa inatokea lakini sio kitu cha ku happen mara kwa mara mifano yake ni michache ila kwa tanzania watu wanatamani na kuchochea iwe ila ndo haiwi…eti nchimbi kusema watanzania pambanieni katiba mpya basi stori zikavumishwa kwamba hawaelewani na rais sio easy mtu kuhatarisha ugali wake….ndo...
si ile slogan yetu ya kwamba sisi ni ma greater thinker ndo inafanya baadhi ya watu wajione wao ndo matawi wao ndo watu waliopo kwenye platform ya watu wenye akili sana tanzania nzima...labda uniambie jamiiforum ya 2023 kurudi nyuma huko
sijajua unamaanisha nini ...mimi zamani sikuwepo tiktok kwa sababu ilikuwa inahitaji sana uwe na simu yenye uwezo mkubwa ila nilijuaga ni sawa na instagram sana ila kwa sasa nilipo ukanda wa kusini mashariki mwa asia tiktok ina tiktok shop ambayo inachuana na shopee,alibaba n.k so huwezi...
watanzania wengi bado wajinga sana hawajui maana ya mtu na taasisi..wao wanadhani makamu wa rais wanaweza kutofautina hawajui kama wale ni ofisi..ushasikia ofisi zimegombana
watu tushapata lunch sasa hivi tunaelekea kucheza pooltable wengine wakivuta sigara wengine wakinywa kahawa wengine wanasubiria london market ifunguke wa trade huyu bado hata chai hajanywa
Wanajifanya hawajui kinachoendelea Instagram kuhusu trends za tiktok wanajifanya hawaitumii ni ya watoto mara wengine wanasema ni ya ma shoga...wakati kiuhalisia tikTok Shop ni moja ya majukwaa makubwa ya ununuzi mtandaoni Asia yote.
Ukimpa stori ya Facebook mtu wa JF anakwambia nilifunga miaka...
tena nyie mko sehemu nzuri sana hamuendeshwi na algorithm videos.wengine tuko active kote jamiiforum na instagram na tume follow media nyingi so zinavyo trendisha hatuna namna zaidi ya ku feed hizo post...kwa hiyo nyie hamjui lolote hamna hizo kauli
"Aah... hawa nao si wazime hizo camera sasa."
"Kwani wao ndiyo wamezaa peke yao?"
"Sawa tumeelewa, mtoto kazaliwa... sasa ndo kila saa?"
"kuna watu wanachezea hela."
"sijui niwa unfollow hawa waanafamilia ya wasafi kwanza, pressure za bure hizi."
"kwamba mtoto wao ndo ana thamani sanaaaa
"Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.