Recent content by ndege JOHN

  1. ndege JOHN

    Mbinu za kukusaidia kuushinda mwili usiwake tamaa

    Kuna mtu akimaliza tu kusoma hapa anaenda direct Kwa VPN yake kucheki pono.. Believe me
  2. ndege JOHN

    Kila mabadiliko mazuri huanza kama kuanguka kwa domino

    Endelea ila iwe inafundisha kupata Hela
  3. ndege JOHN

    Vijana wenzetu wenye ajira na mishahara mizuri, how it feels up there?

    Mengine ni ya kawaida si unajua hela ni vita so hata makazini majungu na kubaniana na ubinafsi wa baadhi hupelekea wewe kukandamizwa au kunyimwa Haki zako all in all ajira na Hela zake yafaa iwe backup tu ya wewe kupata mtaji ila kujiajir unakuwa busy zaidi.. Binafsi bila hela za posho katikati...
  4. ndege JOHN

    Vijana wenzetu wenye ajira na mishahara mizuri, how it feels up there?

    Nitakujibu 1.nimeajiriwa kwenye Taasisi ya mabonde ya maji nchini yapo tisa so moja wapo mimi nipo Ilikuwa 2021 Kiukweli maisha ya utumishi mambo ni mengi Kuhusu pesa sisi mshahara hakuna kitu nilijiingiza kwenye mikopo na wengi na ninapofanyia kazi Wana hio mikopo unaijua ya bank na Taasisi so...
  5. ndege JOHN

    Ni vipengele gani vya kimkataba vinapaswa kuwekwa unapompa mtu asimamie biashara yako Ili upate faida?

    Habari za hapa waungwana naombeni niongezeeni maarifa ya uendeshaji mzuri wa kibiashara case study ni hizi biashara zangu. Nina jamaangu muaminifu sana kwenye maisha na ni mzawa wa hapa nilipo yeye ni fundi viatu sasa ana kijiwe chake sehemu nikaona ni center yaani tukiweka viatu vya mitumba...
  6. ndege JOHN

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    Tu deal kwanza na kupima gongo ili ziwe na ubora ziruhusiwe mambo yasiwe mengi
  7. ndege JOHN

    Nimelipwa deni langu Tsh. Milioni 1.3 baada ya miezi 6. Nifanye uwekezaji gani?

    Pole Kwa mikopo ya Nmb Crdb Letshego Micro credit Narudia Tena nakupa pole Kwa mshahara usiokepesheka Tena hadi million unateseka hivo fuga kuku au fungua duka la vifaa vya bomba
  8. ndege JOHN

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Acha ushamba mkuu unayosema sote tunayajua tokea 2022 huko yaani ni kama marudio tu.. Ni sawa na mtu aanze kutuelezea Rais wa kwanza Mpaka wa tano wa tanzania
  9. ndege JOHN

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Acha ushamba mkuu unayosema sote tunayajua tokea 2022 huko yaani ni kama marudio tu.. Ni sawa na mtu aanze kutuelezea Rais wa kwanza Mpaka wa tano wa tanzania
  10. ndege JOHN

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Uzi niliuchelewa napiga next page ya kwanza Mpaka ya 42 sipo..... Ina maana ndege JOHN Sina mfuasi hata mmoja licha ya utajiri nilionao
  11. ndege JOHN

    Ukipewa nafasi ya kuwa Kiongozi kwa siku moja ni kitu gani utabadilisha cha kwanza?

    Nitakuwa kama magufuli plus makonda Tena hata magufuli mwenyewe naona alikuwa muoga haiwezekan amiri mjeshi mkuu uogope kutaja mafisadi na wauza Madawa ya kulevya
  12. ndege JOHN

    Wanaume muna roho mbaya ndio maana mnakufa mapema

    Ukishakufa inachukua sekunde tu mwingine kufa.. Yaani Nachomaanisha kufa kwako sio kwamba ni faida Kwa mwingine yaani hafaidiki chochote na wewe Ukifa tu punde unakutana jehanam na wabaya wote wakiwemo wanawake zako.. Usidhani Ukifa utalala utawaza jinsi wengine wanafaidi Dunia
  13. ndege JOHN

    Huu muonekano wa neno GOOGLE leo una maana gani?

    Waliosoma geography watakuwa wanauelewa kidogo
Back
Top Bottom