Recent content by ndege JOHN

  1. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Wajinga wamekutana next time jaribuni tena kuandamana tuwapige risasi
  2. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Ni kosa kubwa kudhani Dkt. Nchimbi ataondolewa kwenye Siasa kirahisi

    Hahahah upinzani bhana
  3. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Sipendi watu wanafiki na waongo mimi

    Maajabu ya Jf unaweza kuta mtoa maada ni ME
  4. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Ghafla taifa limehamia kwa zuchu na diamond sasa, yani mtaendelea kuchezewa akili kama tom and jerry😅

    Chadema hawamaini macho yao hawa ndo watanzania mnaowapambania
  5. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    Snapchat kweli uongo ila sijawahi kuitumia ila najua tu ni ya wanawake kuji edit picha ila tiktok nakukatalia tiktok wako vizuri sana kikubwa usifollow ovyo watu wa ovyo follow your niche na itakuletea content zako….meta ukiondoa Facebook hamuwez TikTok yaani tiktok isimame na instagram aisee...
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kwanini Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi hakuwepo kwenye mkutano wa Rais Samia na wafanyabiashara?

    Sawa huwa inatokea lakini sio kitu cha ku happen mara kwa mara mifano yake ni michache ila kwa tanzania watu wanatamani na kuchochea iwe ila ndo haiwi…eti nchimbi kusema watanzania pambanieni katiba mpya basi stori zikavumishwa kwamba hawaelewani na rais sio easy mtu kuhatarisha ugali wake….ndo...
  7. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    si ile slogan yetu ya kwamba sisi ni ma greater thinker ndo inafanya baadhi ya watu wajione wao ndo matawi wao ndo watu waliopo kwenye platform ya watu wenye akili sana tanzania nzima...labda uniambie jamiiforum ya 2023 kurudi nyuma huko
  8. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    sijajua unamaanisha nini ...mimi zamani sikuwepo tiktok kwa sababu ilikuwa inahitaji sana uwe na simu yenye uwezo mkubwa ila nilijuaga ni sawa na instagram sana ila kwa sasa nilipo ukanda wa kusini mashariki mwa asia tiktok ina tiktok shop ambayo inachuana na shopee,alibaba n.k so huwezi...
  9. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kwanini Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi hakuwepo kwenye mkutano wa Rais Samia na wafanyabiashara?

    watanzania wengi bado wajinga sana hawajui maana ya mtu na taasisi..wao wanadhani makamu wa rais wanaweza kutofautina hawajui kama wale ni ofisi..ushasikia ofisi zimegombana
  10. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kauli Ambazo watu hujisemea Moyoni kama masihara ila kweli inawauma na wanamaanisha Wakiona Video za Chumba cha Hospitali cha Zuchu na Mtoto Wake

    watu tushapata lunch sasa hivi tunaelekea kucheza pooltable wengine wakivuta sigara wengine wakinywa kahawa wengine wanasubiria london market ifunguke wa trade huyu bado hata chai hajanywa
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    Wanajifanya hawajui kinachoendelea Instagram kuhusu trends za tiktok wanajifanya hawaitumii ni ya watoto mara wengine wanasema ni ya ma shoga...wakati kiuhalisia tikTok Shop ni moja ya majukwaa makubwa ya ununuzi mtandaoni Asia yote. Ukimpa stori ya Facebook mtu wa JF anakwambia nilifunga miaka...
  12. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kauli Ambazo watu hujisemea Moyoni kama masihara ila kweli inawauma na wanamaanisha Wakiona Video za Chumba cha Hospitali cha Zuchu na Mtoto Wake

    tena nyie mko sehemu nzuri sana hamuendeshwi na algorithm videos.wengine tuko active kote jamiiforum na instagram na tume follow media nyingi so zinavyo trendisha hatuna namna zaidi ya ku feed hizo post...kwa hiyo nyie hamjui lolote hamna hizo kauli
  13. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kauli Ambazo watu hujisemea Moyoni kama masihara ila kweli inawauma na wanamaanisha Wakiona Video za Chumba cha Hospitali cha Zuchu na Mtoto Wake

    "Aah... hawa nao si wazime hizo camera sasa." "Kwani wao ndiyo wamezaa peke yao?" "Sawa tumeelewa, mtoto kazaliwa... sasa ndo kila saa?" "kuna watu wanachezea hela." "sijui niwa unfollow hawa waanafamilia ya wasafi kwanza, pressure za bure hizi." "kwamba mtoto wao ndo ana thamani sanaaaa "Na...
Back
Top Bottom