Recent content by ndege JOHN

  1. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Biashara inayomfaa mwanachuo anayesoma Doctor of Medicine(MD) ni ipi?

    Options ziko nyingi 1. Both Teams to Score (BTTS) 2. Over/Under Goals 3. Correct Score 4. First Goal Scorer 5. Last Goal Scorer 6. Anytime Goal Scorer 7. Team to Score 8. Clean Sheet 9. Total Corners 10. Corner Handicap 11. Total Cards 12. First Half Goals 13. Second Half Goals 14...
  2. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    Wanapambana mkuu wanaharakati hahahaha
  3. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Gobola church Nigeria kanisa la wale I

    https://www.instagram.com/reel/Dc1WwqDN_N8/?stkn=MXd3ajcwd3Z4c3NsZQ==
  4. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Gobola church Nigeria kanisa la wale I

    Kuna kanisa linaitwa Gabola Church maana yake ni God bless the drinker.Ni kanisa ambalo wanasema lengo Lao ni kuwapa huduma ya kiroho watu wanaokunywa pombe waliotengwa. Ndani kuna bar pombe zote mchungaji anakunywa madhabahuni waumini wanalewa na kucheza mapambio
  5. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda

    Unajua maana ya USHUHUDA? Sasa kama hukutaka kusema mengi sisi tutashuhudiaje
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Nilinunua simu mbili kwa mpigo Baada ya kuona ukizishika ni kama unaonekana mtu wa maana mwenye ma deal sasa hivi natumia tu hii moja hii nyingine ipo tu huwa naichaji tu isife
  7. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uongozi wa Wanawake kwenye taasisi huleta faida zaidi | London Stock Exchange

    Haya majamaa ya jamiiforum yana chuki kishenzi yaani hata mtu aongee maneno ya maana wanapinga tu kweli haya a akili..kafulila kichwa na ni jembe Me ndo siasa za Chadema kupinga kila kitu nimeziacha Kila kitu kwao kibaya bwawa la umeme baya sijui kipi kwao chema wana stress sana
  8. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Hivi Ndivyo Benki Hutumia Pesa Zako

    Hili jambo jepesi sana inatakiwa wafundishwe watoto wa primary
  9. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mambo 20 ya kipekee usiyoyajua kuhusu Tanga

    Napenda sana tanga,moshi,pwani,dar,lindi,mtwara,na singida
  10. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mtu haachi asili yake, min-me ameshindwa kuvumilia kujifanya mtulivu, siku hizi anashindana na secretarybird kuandika nyuzi za wadada wenye makebo

    Hahaha Jf bwana min me anaanzishiwa maada mara John Baptist Haha ni watu wameishiwa hoja ama nini
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Gigy Money Waziri Katambi alitupa elfu 50 za kula. Aendelee kutuita tu kila wiki

    Acheni ushamba mambo ya posho mnajifanya hamuyajui
  12. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kenya Waandamana Ubalozini kushinikiza Tundu Lissu aachiliwe huru

    Chadema waoga hata maandamano ya amani kama hayo hawayawezi
  13. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania 1998 radi iliua timu nzima ya Moira Congo lakini timu pinzani ikatoka salama

    Mwaka 1998, nchini DR Congo, kulikuwa na mechi kati ya Bena Tshadi na Basanga. Mchezo ulikuwa 1–1 wakati radi ilipopiga uwanja. Cha kushangaza, wachezaji wote 11 wa upande mmoja walifariki, huku takribani watu 30 wakijeruhiwa. Lakini wachezaji wa timu pinzani hawakupata madhara. Hapo ndipo...
Back
Top Bottom