Recent content by ndege JOHN

  1. ndege JOHN

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Secret knowledge ndo kila kitu kuhusu mafanikio
  2. ndege JOHN

    KERO Ukimya wa Uhamiaji na Maumivu ya Wananchi Wanaosubiri Pasipoti

    Mpaka biodata wamekunyima au ni kitabu kama kitabu?
  3. ndege JOHN

    Wakuu hii Tigana football academy ni ya kuaminika (Dar es salaam)

    Kuaminika kvp kwanza..kwani wanatoza fees kubwa za kuingilia mpk uone huenda ni matapeli?au unahisi haki exist kabisa?
  4. ndege JOHN

    Usiku kuwa mfupi na masaa kwenda kasi kwa nyakati hizi nini sababu?

    Utandawazi unafanya iwe rahisi ku save memories zile recently..mfano pictures za mwaka jana kwenye simu unazo lazima uone ni km jana
  5. ndege JOHN

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Oh..inafikirisha hio...nadhani Israel bado ana kisasi na wamisri wa kale
  6. ndege JOHN

    KERO Sekretarieti ya Ajira, kuna maswali wakati wa Usaili hayana mantiki kabisa

    Ok niliajiriwa 2020 sasa nishaelewa kumbe ni amplitude test ndo mtindo wanaotumia sasa hivi same as kwenye scholarship interview nyingi tu..maswali mengi ila mengi yanakuwa ni rahisi tukupime kwanza kuelewa wako wa vitu general
  7. ndege JOHN

    KERO Sekretarieti ya Ajira, kuna maswali wakati wa Usaili hayana mantiki kabisa

    Sasa hayo ni amplitude test kupimwa reasoning capacity
  8. ndege JOHN

    KERO Sekretarieti ya Ajira, kuna maswali wakati wa Usaili hayana mantiki kabisa

    Written na oral zote haziwez kufika maswali 50...sisi pia tumeajiriwa kupitia ajira portal wadanganye ambao bado
  9. ndege JOHN

    Kumbe ile zawadi ambayo Trump aliisema amepewa na Iran ni huyo kamanda wa jeshi la majini

    Thread ina hang sana haina sifa kuchambuliwa na great thinkers..unaandika kama hivi ili iweje tukuone much know au
  10. ndege JOHN

    MPYA Umeshawahi Kujiuliza Kwanini Ombaomba Wengi Hawana Kipara?

    Mwandish punguza u much know
  11. ndege JOHN

    Harbinder Sethi atakaswa na Polisi

    Document kama hii ni privacy ya mtu cha ajabu inavuja duh wabongo siwawezi
Back
Top Bottom