Mengine ni ya kawaida si unajua hela ni vita so hata makazini majungu na kubaniana na ubinafsi wa baadhi hupelekea wewe kukandamizwa au kunyimwa Haki zako all in all ajira na Hela zake yafaa iwe backup tu ya wewe kupata mtaji ila kujiajir unakuwa busy zaidi.. Binafsi bila hela za posho katikati...
Nitakujibu
1.nimeajiriwa kwenye Taasisi ya mabonde ya maji nchini yapo tisa so moja wapo mimi nipo Ilikuwa 2021 Kiukweli maisha ya utumishi mambo ni mengi
Kuhusu pesa sisi mshahara hakuna kitu nilijiingiza kwenye mikopo na wengi na ninapofanyia kazi Wana hio mikopo unaijua ya bank na Taasisi so...
Habari za hapa waungwana naombeni niongezeeni maarifa ya uendeshaji mzuri wa kibiashara case study ni hizi biashara zangu.
Nina jamaangu muaminifu sana kwenye maisha na ni mzawa wa hapa nilipo yeye ni fundi viatu sasa ana kijiwe chake sehemu nikaona ni center yaani tukiweka viatu vya mitumba...
Pole Kwa mikopo ya
Nmb
Crdb
Letshego
Micro credit
Narudia Tena nakupa pole Kwa mshahara usiokepesheka Tena hadi million unateseka hivo fuga kuku au fungua duka la vifaa vya bomba
Acha ushamba mkuu unayosema sote tunayajua tokea 2022 huko yaani ni kama marudio tu.. Ni sawa na mtu aanze kutuelezea Rais wa kwanza Mpaka wa tano wa tanzania
Acha ushamba mkuu unayosema sote tunayajua tokea 2022 huko yaani ni kama marudio tu.. Ni sawa na mtu aanze kutuelezea Rais wa kwanza Mpaka wa tano wa tanzania
Nitakuwa kama magufuli plus makonda Tena hata magufuli mwenyewe naona alikuwa muoga haiwezekan amiri mjeshi mkuu uogope kutaja mafisadi na wauza Madawa ya kulevya
Ukishakufa inachukua sekunde tu mwingine kufa.. Yaani Nachomaanisha kufa kwako sio kwamba ni faida Kwa mwingine yaani hafaidiki chochote na wewe Ukifa tu punde unakutana jehanam na wabaya wote wakiwemo wanawake zako.. Usidhani Ukifa utalala utawaza jinsi wengine wanafaidi Dunia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.