Recent content by ndege JOHN

  1. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania matumizi ya muda mrefu ya porn yanaweza kusababisha watu kuendelea kutafuta maudhui makali zaidi na mwisho kujaribu vitendo vya ushoga

    hili jambo jamii haitaki kulisema sijui inaona aibu kuliongelea kwa vile wenye indusrty yao watasema hakuna ushahidi wa kisayansi lakini amini usiamini matumizi ya porn yanaweza kusababisha kile kinachoitwa "escalation", ambapo mtumiaji huanza na maudhui ya kawaida lakini baada ya muda...
  2. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kundi la kigaidi likitokea kuna Watu Wanasema ni mkono wa CIA au Mossad,mbaya zaidi hadithi za vijiweni zinaaminiwa mpaka na wasomi

    Nimegundua kuna watu ambao kwao kila kundi la kigaidi duniani lazima liwe limeanzishwa na CIA au Mossad. Ukitaja ISIS, Al-Qaeda, Boko Haram, Hamas, Hezbollah, Taliban, TTP, Jemaah Islamiyah na mengine mengi, jibu lao ni moja tu Marekani ndiyo waliunda.kwamba CIA ndo wanafadhili mafunzo na kuyapa...
  3. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Watu mlioajiriwa hii hali ya kifedha ilishawahi wakuta?

    imeandikwa tuwe maskini na hakuna kitu utafanya
  4. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji marafiki wa kubadilishana nao mawazo

    unajiamulia sana mambo
  5. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Hatujuani ila kuna members wenzetu humu JF na hata ndugu zako matajiri wanaingiza hela za usiku wengine wanaita husttle wengine wanaita black market

    kama ni bangi lima sana maporini huko milimani mahali usipoweza kusnitchiwa na watu
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Hatujuani ila kuna members wenzetu humu JF na hata ndugu zako matajiri wanaingiza hela za usiku wengine wanaita husttle wengine wanaita black market

    uchumi wa dunia sio GDP rasmi za nchi pekee kuna upande mwingine mkubwa sana wa uchumi ambao haupo kwenye reports rasmi za serikali wala World Bank. Huu ndio Black Market au unaeza ita Shadow Economy. Inaaminika karibu asilimia 5 ya GDP ya dunia hupitia kwenye money laundering na criminal...
  7. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kosa kubwa alilolifanya Mwl Nyerere ni kusaidia mataifa ya kusini kupata uhuru. Mpaka leo hili kosa linatugharimu

    kwamba tusingesaidia chochote wasingepata uhuru kumbe
  8. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kula nyama ya mbwa wakaanza Kuiga tabia za mbwa

    siku hizi hawali sana wanakulaga kwa hamu tu kama tukio la kiutamaduni yaani mara moja moja ila zamani wazee wao ndo walikuwa wanakula sana
  9. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kula nyama ya mbwa wakaanza Kuiga tabia za mbwa

    ni kwa sababu ni karibu na indonesia kutoka indonesia tunashuka mpaka kupang then tunachukua bus ni kama masaa 7 mpaka dili timor leste
  10. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kula nyama ya mbwa wakaanza Kuiga tabia za mbwa

    Weekend tarehe 23 iliyopita nilitembelea sehemu moja karibu na mji wa kupang ila ni vijiji vya nchi ya Timor-Leste nikiwa na rafiki yangu kwao palikuwa na kama kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha babu yake nikamsindikiza kuna tukio moja liliniacha na maswali mengi sana kuhusu mambo ya...
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Msemo wa Sugu ‘matako yenu’ umekaa kishamba sana, aliye karibu naye mwambie aachane nao

    unaona jinsi dotto magari anavyo trend vzr alipaswa kuwa anatukana lakini cheki alivyo makini sana anaongea maneno ya kukera lakini hatoi tusi
  12. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Msemo wa Sugu ‘matako yenu’ umekaa kishamba sana, aliye karibu naye mwambie aachane nao

    hiphop kwani anafanya yeye peke yake hajifunzi kwa wasanii karibia wote wa hiphop hata wakiwa interview wamenyoka ...yeye chid benz na TID naonaga malimbukeni sana
  13. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Msemo wa Sugu ‘matako yenu’ umekaa kishamba sana, aliye karibu naye mwambie aachane nao

    hata chid benz sometimes anahojiwa anawajibu shit waandishi watu huwa wanafurahia ila me namuonaga bonge la mshamba
  14. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua jina la huu Wimbo

    moving to grace by abraham h
  15. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Msemo wa Sugu ‘matako yenu’ umekaa kishamba sana, aliye karibu naye mwambie aachane nao

    Mheshimiwa Joseph Mbilinyi aka sugu sijakataa ana kipaji cha kuongea na kuhamasisha watu, lakini kuna baadhi ya misemo yake kama ‘matako yenu’ imekaa kishamba kuliko kisiasa au kiuongozi. Kila kiongozi huwa na jingle yake, lakini jingle pia inatakiwa ijenge heshima na ukubwa wa brand yake. Kwa...
Back
Top Bottom