Recent content by ndeewaani

  1. N

    Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

    unajua ukiongea sana busra huonekana ni tusi, mi nadhani kabla ya kutengana ni bora kila mtu arudi kwao yaani wazanzibari waende kwao na watanganyika warudi kwao, halafu ndo zoezi la vitambulisho vya uraia vingetolewa ili wakija bara kununua mahindi waje kwa passport na visa, kifupi hii ndoa...
  2. N

    Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

    unajua huyo jamaa hans pope alikuwa na jamaa mwingine ambaye kwa sasa yupo songea na aliwahi kuwa rubani wa jeshi la anga pale airwing dar so walipoachiwa walirudishwa vijijini kwao, kwa sasa huyo jamaa mwingine ambaye jina lake nimelisahau ame hoka mbaya kiuchumi yani mwenyewe anasema hata...
  3. N

    Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

    ukifuata mambo ya chadema lazima utachanganyikiwa, hawajui wanalolitaka katika siasa kama ni umaalufu mitaani, maisha bora kwa watanzania ama ni kusubiri pesa za ruzuku wahonge mahawala zao magari na vipodozi.
Back
Top Bottom