unajua ukiongea sana busra huonekana ni tusi, mi nadhani kabla ya kutengana ni bora kila mtu arudi kwao yaani wazanzibari waende kwao na watanganyika warudi kwao, halafu ndo zoezi la vitambulisho vya uraia vingetolewa ili wakija bara kununua mahindi waje kwa passport na visa, kifupi hii ndoa...
unajua huyo jamaa hans pope alikuwa na jamaa mwingine ambaye kwa sasa yupo songea na aliwahi kuwa rubani wa jeshi la anga pale airwing dar so walipoachiwa walirudishwa vijijini kwao, kwa sasa huyo jamaa mwingine ambaye jina lake nimelisahau ame hoka mbaya kiuchumi yani mwenyewe anasema hata...
ukifuata mambo ya chadema lazima utachanganyikiwa, hawajui wanalolitaka katika siasa kama ni umaalufu mitaani, maisha bora kwa watanzania ama ni kusubiri pesa za ruzuku wahonge mahawala zao magari na vipodozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.