Haaaaaa hahhahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Hiyo ni maneno mbofumbofu ya Mr Ebbo.
Wazazi ya samani nachanganya Wasasi ya samani mlitusuga na uzushi ya maneno mbofumbofu.
Ni kweli Oral sex husabisha saratani ya koo kwa kiasi kikubwa?
Na mimi nilishafundishwa kwenye somo la Afya nilivyokuwa sekondari kuwa saratani ya Koo husababishwa na uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe kali, sasa hapa ukweli ni upi?
Naombeni msaada.
Dah amakweli dunia yetu inaelekea ukingoni yaani kiongozi wa dini kawa Shetani namna hiyo?
Wala sio eti anashida au amezidiwa lah.. niwazimu tuu,Wake 11 bado unataka tuu alafu eti anataka watoto 100 eti kabla haja hajafa sasa atawapatia huko huko Lupango K****e.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.