Recent content by ndatama

  1. ndatama

    ACT Wazalendo ni kama TANU

    ACT inasonga mbele nyie endeleeni na mitusi yenu
  2. ndatama

    ACT Wazalendo ni kama TANU

    Matusi silaha ya CHADEMA
  3. ndatama

    ACT Wazalendo ni kama TANU

    Tatizo wengi mnahisi matusi ndio silaha yenu, tunawafunza siasa taratibu
  4. ndatama

    ACT Wazalendo ni kama TANU

    No jukumu letu kuhakikisha kila mtanzania anafaidika vilivyo na maliasili tulizojariwa na mungu
  5. ndatama

    ACT Wazalendo ni kama TANU

    Kazi yetu ni moja tuu kiurudisha Tz kwenye misingi iliyo iasisi
  6. ndatama

    ACT Wazalendo ni kama TANU

    Hatuhitaji nguvu nyingi kuwaelewesha hili
  7. ndatama

    ACT Wazalendo ni kama TANU

    ACT ni chama pekee chenye dhamira ya dhati ya ukombozi. Tanzania ilipofikia Leo inahitaji chama chenye uthubutu wa ukombozi na sio uthubutu wa kusaka madaraka. Mpaka sasa ACT inaamini katika kujitegemea zaidi ya kutegemea wahisani kama vilivyo vyama vikubwa vilivyotutangulia. Tunaamini...
  8. ndatama

    Sanaa na maigizo ya CHADEMA

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu, nahisi waigizaji wa filamu za kibongo itabidi wapumzike kwa muda ili tutazame hizi sinema za wanasiasa. Maigizo ya CHADEMA yanaanza pale walipomuita Lowassa in mwizi, fisadi na ni furaha ya Mungu kumzomea. Wakaja wakamuhusisha na ACT -Wazalendo, hii ikawa zaidi haswa...
  9. ndatama

    Ukweli huchelewa ingawa huwepo

    Kesho fisadi nguli anaanza kuitwa kamanda
  10. ndatama

    Ukweli huchelewa ingawa huwepo

    NI ACT AU CHADEMA Ukweli Siku zote hujitenga na uongo haijalishi muda utaogharimu. Kumekua tetesi kwa muda juu ya ufadhili wa fisadi nguli Lowasa kwa ACT, tetesi hizi zilifanywa kama propaganda na gumzo kwa wenzetu wa upande wa pili. Moja kati ya vitu navyokumbuka ni kirefu cha neno ACT...
Back
Top Bottom