Recent content by ndama1

  1. ndama1

    PreGE2025 Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa "Nitasema"

    Aiwezekan nyimbo zote ziwe za kusifu tu ! Kusema ukweli ahaa.!
  2. ndama1

    ACT Wazalendo yamtaka Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kufika Rufiji haraka

    Mafuriko hayo waliyakuta yapo miaka yote yapo kama Kilosa Morogoro.!
  3. ndama1

    Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

    Kwani nani alikuambia duniani in makazi ya kudumu? Sisi wote tunapita sasa tujenge ili iweje?
  4. ndama1

    Januari Makamba: Wanaohoji kuchelewa Mradi wa JNHPP ni upuuzi tu

    Huu jamaa sijawahi kumuelewa.!
  5. ndama1

    Wasifu wa Samia Suluhu Hassan

    Hapo kwenye EDUCATION hapaeleweki kabisaa.! Yaani inaonesha kila shule kasoma mwaka mmoja mmoja.
  6. ndama1

    Makonda naye ahudhuria maadhimisho ya mwaka mwaka mmoja wa kifo cha Magufuli

    Wangemruhusu na Sabaya akafanye kumbukizi kwa fathergod.
  7. ndama1

    Gavana BoT: Nchi haiweki rehani Watu wake inapochukua Mikopo

    Airport ya Entebbe Uganda imechukuliwa na China ishu hizo hizo za mikopo. Sasa we unatueleza nini sasa?
  8. ndama1

    Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

    Kwenye namba 2 na 3 hapo broo tumepigwa na kitu kizito.
  9. ndama1

    Nahitaji kujua kama jiwe hili lina dhahabu

    Nami ninajiwe linaendana na hilo lina rangi mbalimbali nimeamua kulihifadhi kabatini endapo nitapata wataamu nitawahusisha ili wanishauri.
  10. ndama1

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Broo nomba muongozo taratibu za kujisajiri TBS.
Back
Top Bottom