Wewe hujasoma Mwalimu nyerere hivyo usiongeeongee tu ilimradi unataka kufurahisha watu. Kama ungekuwa umesoma pale ungekuwa unajua degree wameanza kutoa lini Hivihivi utabisha mpaka uingie kaburini.
Hivi kwani lila posti lazima uijibie kama hujui kitu si ukae kimya. Mbona wengine wamechuna tu si wameona mada hawaiwezi. Kwanza unaongea vitu vya uongo hivi Mtu kama wewe unaweza kunisaidia kupata nazi? Shuttup your mouth
Unauhakika na unacho kiongea?, umesoma Mwalimu nyerere?, kwanza Mwalimu nyerere unayoiongelea wewe ni ipi usiwe unalopokalopoka tu vu tu usivyo vijua mimi ndo natakiwa nikwambie wewe No research No right to speak.watu mnapenda kubishabisha tu bila kuwa na uhakika na mambo yenyewe. Chuo hicho...
Mmmmmm mmeongea sana tena sana il a kwa kifupi nimesoma hkl nimemaliza mwaka 2006 nikajiunga na chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu nyerere mwaka huohuo kwa kozi ya Bachelor degree in economics of development na kumaliza mwaka 2009. Kwa anaesema 2009 hawakuanza kutoa degree Huyo ni muongo na hakijui...
Mimi ni mwanamke, Nina miaka 30. Natafuta kazi yoyote. Nina degree ya uchumi na pia Nina diploma ya ualimu. Ninauzoefu Wa kazi kwa miaka miwili.kwa mawasiliano zaidi nipm
Mimi ni Mwalimu Wa sekondari natafuta Mtu Wa kubadilishana naye. Yeye a je wilaya ya busega mkoa Wa simiyu( karibu na mwanza) mimi niende moja kati ya wilaya zifuatazo Mkuranga, kibaha, morogoro, daresalaam wilaya yotote ile.kwa yeyote aliye tayari anipm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.