Recent content by Ndagullachrles

  1. Ndagullachrles

    Bobaboda na bajaji K'njaro wapigwa msasa sheria za barabarani, wapewa vyeti

    BODABODA NA BAJAJI K’NJARO WAPIGWA MSASA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI MAMLAKA ya usimamizi wa usafiri ardhini nchini(LATRA)ikishirikiana na Chuo cha mafunzo ya ufundi stadi(VETA)na jeshi la polisi wameendesha mafunzo ya mwezi mmoja ya kuwajengea uwezo madereva 178 wanaojihusisha na uendeshaji...
  2. Ndagullachrles

    Kuna muhuni wangu nimemaliza nae chuo eti sasaivi ni NABII 🤣🤣🤣 anahubiri kwenye youtube channel yake 🤣🤣🤣

    Kwenye hii dunia kila mtu anatafuta namna ya kuishi bro,yeye amechangua maisha hayo muache aendelee kuhubiri injili ya Yohana mbatizaji na wewe ishi maisha yako tu hakuna shida
  3. Ndagullachrles

    Moto wazidi kuwaka UWT K'njaro.walioenguliwa kura za maoni watishia kurejesha kadi za CCM

    MOTO WAZIDI KUWAKA UWT K'NJARO,WANACHAMA WATISHIA KUREJESHA KADI ZA CCM HALI bado si swari ndani ya Jumuiya ya wanawake wa Chama cha Mapinduzi(UWT)baada ya wanachama wake na wale walioenguliwa katika kinyang'anyiro cha kura za maoni kutishia kurejesha kadi za Umoja huo endapo mamlaka za juu za...
  4. Ndagullachrles

    Ngoma bado mbichi UWT K'njaro, wagombea walioenguliwa waanika mtandao wa rushwa

    Moshi bado unaendelea kufuka ndani ya Jumuiya ya wanawake ya Chama cha mapinduzi(UWT)baada ya wanachama wake walioenguliwa katika kinyang'anyiro cha kusaka nafasi ya ubunge wa Viti maalumu kufichua mtandao uliotumika kutawanya rushwa kwa wajumbe . Miongoni mwa wanaotajwa kutawanya rushwa kwa...
  5. Ndagullachrles

    Kisa Ubunge, Salim Kikeke adanganya mahali alipozaliwa

    Ng'wizukulu wa Buganda umenichekesha sana ndugu yangu,yaani siku nyingi nimekuwa nikiwaza kuna nini huku kwenye ubunge,yaani kikeke kutoka BBC hadi Moshi Vijijini anatafuta nini?, Kuna siku nilisikia wanasema amezaliwa Kahe kule anakotoka yule mchafua nchi,muasi wa nchi yake ya asili mange...
  6. Ndagullachrles

    GE2025 PDF la wagombea ubunge kupitia CCM waliopitishwa na wajumbe kwenye kura za maoni

    Kilimanjaro sijaona majina ya Same mashariki,Same magharibi,mwanga na Rombo
  7. Ndagullachrles

    GE2025 UWT Kilimanjaro kwafuka moshi; rushwa, upangaji matokeo na kujuana vyatawala kila kona

    Huko mkoani Kilimanjaro hali si shwari ndani ya Jumuiya ya Wanawake ya Chama cha mapinduzi(UWT)kutokana na kilio cha wanachama wake kulalamikia vitendo vya rushwa,kujuana,upangaji wa matokeo na upendeleo katika kwapata washindi wa kura za maoni ndani ya jumuiya hiyo. Kinacholalamikiwa na wengi...
  8. Ndagullachrles

    Mkandarasi huko Moshi ameingia mitini na Milioni 51 za askofu Shoo wa T.A.G

    Mkandarasi wa Kampuni moja ya ujenzi mjini moshi(jina kapuni kwa sasa)anadaiwa kuingia mitini na shilingi Milioni 51 alizopewa na Askafu Mstaafu wa Kanisa la Tanzania Asseblies of God(T,A.G).Glorious Shoo. Mkandarasi huyo aliingia mkataba na kupewa kiasi hicho cha pesa kama malipo ya awali kwa...
  9. Ndagullachrles

    Hadithi ya mme aliyepoteza mke wake na kichanga wakati akijifungua inaumiza

    hali zetu za kiuchumi zinasababisha haya yatukute
  10. Ndagullachrles

    GE2025 Mtia nia Ubunge Arusha: Mikopo ya kausha damu tutaifuta, najua mahali nitapata pesa zisizokuwa na riba

    Wameanza kwadanganya mapema wapiga kura,huko mbeleni itakuwaje,tuwachuje watia nia walongo walongo jamani
  11. Ndagullachrles

    Hadithi ya mme aliyepoteza mke wake na kichanga wakati akijifungua inaumiza

    Hadithi ya Barnaba Tillya aliyempoteza mke wake kipenzi,Irene Tillya wakati akijifungua katika Hospital ya Marangu juni 4 mwaka huu inaumiza sana. Ndiyo ni hadithi inayoumiza unapoanza kuhadithiwa kuanzia mke wake anapoondoka nyumbani hadi anafika Hospital na madhila aliyoyapata kuanzia wodi ya...
Back
Top Bottom