BODABODA NA BAJAJI K’NJARO WAPIGWA MSASA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
MAMLAKA ya usimamizi wa usafiri ardhini nchini(LATRA)ikishirikiana na Chuo cha mafunzo ya ufundi stadi(VETA)na jeshi la polisi wameendesha mafunzo ya mwezi mmoja ya kuwajengea uwezo madereva 178 wanaojihusisha na uendeshaji...
Kwenye hii dunia kila mtu anatafuta namna ya kuishi bro,yeye amechangua maisha hayo muache aendelee kuhubiri injili ya Yohana mbatizaji na wewe ishi maisha yako tu hakuna shida
MOTO WAZIDI KUWAKA UWT K'NJARO,WANACHAMA WATISHIA KUREJESHA KADI ZA CCM
HALI bado si swari ndani ya Jumuiya ya wanawake wa Chama cha Mapinduzi(UWT)baada ya wanachama wake na wale walioenguliwa katika kinyang'anyiro cha kura za maoni kutishia kurejesha kadi za Umoja huo endapo mamlaka za juu za...
Moshi bado unaendelea kufuka ndani ya Jumuiya ya wanawake ya Chama cha mapinduzi(UWT)baada ya wanachama wake walioenguliwa katika kinyang'anyiro cha kusaka nafasi ya ubunge wa Viti maalumu kufichua mtandao uliotumika kutawanya rushwa kwa wajumbe .
Miongoni mwa wanaotajwa kutawanya rushwa kwa...
Ng'wizukulu wa Buganda umenichekesha sana ndugu yangu,yaani siku nyingi nimekuwa nikiwaza kuna nini huku kwenye ubunge,yaani kikeke kutoka BBC hadi Moshi Vijijini anatafuta nini?,
Kuna siku nilisikia wanasema amezaliwa Kahe kule anakotoka yule mchafua nchi,muasi wa nchi yake ya asili mange...
Huko mkoani Kilimanjaro hali si shwari ndani ya Jumuiya ya Wanawake ya Chama cha mapinduzi(UWT)kutokana na kilio cha wanachama wake kulalamikia vitendo vya rushwa,kujuana,upangaji wa matokeo na upendeleo katika kwapata washindi wa kura za maoni ndani ya jumuiya hiyo.
Kinacholalamikiwa na wengi...
Mkandarasi wa Kampuni moja ya ujenzi mjini moshi(jina kapuni kwa sasa)anadaiwa kuingia mitini na shilingi Milioni 51 alizopewa na Askafu Mstaafu wa Kanisa la Tanzania Asseblies of God(T,A.G).Glorious Shoo.
Mkandarasi huyo aliingia mkataba na kupewa kiasi hicho cha pesa kama malipo ya awali kwa...
Hadithi ya Barnaba Tillya aliyempoteza mke wake kipenzi,Irene Tillya wakati akijifungua katika Hospital ya Marangu juni 4 mwaka huu inaumiza sana.
Ndiyo ni hadithi inayoumiza unapoanza kuhadithiwa kuanzia mke wake anapoondoka nyumbani hadi anafika Hospital na madhila aliyoyapata kuanzia wodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.