Recent content by Ndagullachrles

  1. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Diwani kuwadhalilisha watumishi Manispaa ya Moshi ni jambo lisilokubalika

    Agosti 13 mwaka huu kwenye ukumbi wa Manispaa ya moshi kikao cha Baraza la madiwani kiligeuka kama kamati kwa ajili ya kujadili masuala ya kiutumishi hivyo sisi ambao hatukuwa wajumbe kanuni zilituondoa ndani ya ukumbi . Kikao kiliendelea kwa muda na hatimaye kikamalizika na sisi tukaitwa ...
  2. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania SGT Mwajabu Mzee alivyoibeba tuzo ya best lady against violence Tanzania

    SGT MWAJABU BEST LADY AGAINST VIOLENCE TANZANIA AKABIDHI TUZO KWA RPC KILIMANJARO Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Simon Maigwa amepokea tuzo mbili alizotunukiwa SGT Mwajabu Mzee wa Kitengo cha Dawati Jinsia na Watoto Mkoa wa Kilimanjaro...
  3. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Kesho tunamtambulisha Wata Pleya wetu Uwanja wa KMC ambaye hapatikani kwa michango ya mashabiki

    Habari viongozi wa matawi. Wanachama. Wapenzi na mashabiki wote wa yanga. Kesho tar 15 klabu ya yanga watamtambulisha mchezaji mpya. Tukio hili litafanyika kwenye uwanja wa KMC ulioko kinondoni Dar es Salam. Huu ni utaratibu unaotumika kwenye Tim kubwa za Ulaya. Ili upate nafasi ya kua...
  4. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Kikongwe miaka 89 Mwanaimani Nasha Mfinanga asainishwa mkataba asioujua, ni wa mauzo ya nyumba iliyopo kwenye mgogoro wa mirathi

    Mwanaimani Mashauri Mfinanga kikongwe(89),amefungua shauri la mirathi namba 15361/2026 katika mahakama ya wilaya ya Mwanga akipinga uhalali wa Mary Mashauri Makange kuwa msimamizi wa mirathi. Hata hivyo wakati shauri hilo likiwa bado halijaanza kusikilizwa mfanyabiashara aliyefahamika kwa jina...
  5. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Bobaboda na bajaji K'njaro wapigwa msasa sheria za barabarani, wapewa vyeti

    BODABODA NA BAJAJI K’NJARO WAPIGWA MSASA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI MAMLAKA ya usimamizi wa usafiri ardhini nchini(LATRA)ikishirikiana na Chuo cha mafunzo ya ufundi stadi(VETA)na jeshi la polisi wameendesha mafunzo ya mwezi mmoja ya kuwajengea uwezo madereva 178 wanaojihusisha na uendeshaji...
  6. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Kuna muhuni wangu nimemaliza nae chuo eti sasaivi ni NABII 🤣🤣🤣 anahubiri kwenye youtube channel yake 🤣🤣🤣

    Kwenye hii dunia kila mtu anatafuta namna ya kuishi bro,yeye amechangua maisha hayo muache aendelee kuhubiri injili ya Yohana mbatizaji na wewe ishi maisha yako tu hakuna shida
  7. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Moto wazidi kuwaka UWT K'njaro.walioenguliwa kura za maoni watishia kurejesha kadi za CCM

    MOTO WAZIDI KUWAKA UWT K'NJARO,WANACHAMA WATISHIA KUREJESHA KADI ZA CCM HALI bado si swari ndani ya Jumuiya ya wanawake wa Chama cha Mapinduzi(UWT)baada ya wanachama wake na wale walioenguliwa katika kinyang'anyiro cha kura za maoni kutishia kurejesha kadi za Umoja huo endapo mamlaka za juu za...
  8. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Ngoma bado mbichi UWT K'njaro, wagombea walioenguliwa waanika mtandao wa rushwa

    Moshi bado unaendelea kufuka ndani ya Jumuiya ya wanawake ya Chama cha mapinduzi(UWT)baada ya wanachama wake walioenguliwa katika kinyang'anyiro cha kusaka nafasi ya ubunge wa Viti maalumu kufichua mtandao uliotumika kutawanya rushwa kwa wajumbe . Miongoni mwa wanaotajwa kutawanya rushwa kwa...
  9. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Kisa Ubunge, Salim Kikeke adanganya mahali alipozaliwa

    Ng'wizukulu wa Buganda umenichekesha sana ndugu yangu,yaani siku nyingi nimekuwa nikiwaza kuna nini huku kwenye ubunge,yaani kikeke kutoka BBC hadi Moshi Vijijini anatafuta nini?, Kuna siku nilisikia wanasema amezaliwa Kahe kule anakotoka yule mchafua nchi,muasi wa nchi yake ya asili mange...
  10. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania GE2025 PDF la wagombea ubunge kupitia CCM waliopitishwa na wajumbe kwenye kura za maoni

    Kilimanjaro sijaona majina ya Same mashariki,Same magharibi,mwanga na Rombo
  11. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania GE2025 UWT Kilimanjaro kwafuka moshi; rushwa, upangaji matokeo na kujuana vyatawala kila kona

    Huko mkoani Kilimanjaro hali si shwari ndani ya Jumuiya ya Wanawake ya Chama cha mapinduzi(UWT)kutokana na kilio cha wanachama wake kulalamikia vitendo vya rushwa,kujuana,upangaji wa matokeo na upendeleo katika kwapata washindi wa kura za maoni ndani ya jumuiya hiyo. Kinacholalamikiwa na wengi...
  12. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Aggrey Mwanri kwenye harakati za kutafuta kura za wajumbe aimba wimbo wa "Asimama peke yake"

    hahahahahaaaaa,injinia soma hiyoooooooooooooooooooo
  13. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Kwa waliojisajili NHIF kwa njia ya mtandao

    NHIF wenyewe wanasemaje?
Back
Top Bottom