Kama wewe hujiamini endelea kutokujiamini wewe mwenyewe tu,tunao wasomi wengi kwenye hiyo kada,mmoja wapo ambae hata wewe unamfahamu,ni prof, mohamed gharib bilali,
Lkn pia kisa cha USA kupiga atomiki Japan,jeshi lake liliangamizwa na majeshi ya Japan,hivyo mtu anapokuja na suala la propoganda za kipuuzi,unashangaa sana,
UTAKUWA NBIRIKIMO WA FIKRA,WAKATI ANAHOJIWA,HAKUJIBU KAMA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,ALIJIBU KAMA SAMIA,LKN SIKU ANATANGAZA KIFO CHA MAGUFULI,ALIKUWA KAMA MKUU WA NCHI AKIITANGAZIA DUNIA, SASA NYIE WENYE AKILI MBIRIKIMO NA FIKRA ZENYE MATEGE,MNA AJENDA ZENU BINAFSI,
Jamani,woote hao wanapambana na mtu mmoja tu? Uingereza kapeleka siraha nzito,Marekani kapereka siraha nzito,,ujetumani nae kapeleka siraha nzito,jamhuri ya chek naye kapeleka,canada naye kapeleka,lkn cha kushangaza Ukraine bado inachezea kichapo kwa mrussi,
Kwa nini wewe kila likija swala mhimu na lenye tija kwa nchi,kazi yako ni kupinga tu? Kila michango yako wewe ni kutetea ufisadi na uharifu? Au wewe hiyo ndio kazi yako?, unalipwa kwa kazi hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.