Recent content by ndaba enock

  1. N

    Pipoz wa ngara mpo?

    Ninyi hata kuugua hamuugui japo mje kutibiwa murgwanza hospital niwe nakuja kuwatembelea? Mkididili nouma kweli maana kuna vumbi ya kufa mtu ni hatari sana
  2. N

    Nimechoka bhana

    Hivi hizi posts za kujiunga na form five zitatoka lini,aise nimechoka kukaa kitaa!tangu mwezi wa kumi mwaka daah
  3. N

    TAHADHARI kwa wana ChitChat wote

    Mi simo jaman kwanza mi sio mwenyej humu ndan kivile
  4. N

    Haya tena

    Fanya kweli kunifollow twitter www.twitter.com/enockwangara mi ntakufollow back
  5. N

    Mi nawakilisha pande za ngara mkoa wa kagera

    Pande za kosovo,yaan ukitoka murgwanza kuelekea mgoma kabla haujafika mkirehe
  6. N

    Mi nawakilisha pande za ngara mkoa wa kagera

    Jaman nawakaribishen huku ngara hasa pasaka h¨ªi tujichane
  7. N

    Ujio wa Rais wa China, Xi Jinping nchini Tanzania - Machi 2013

    Enock Ndaba nipo Ngara. China na Tanzania wamekua na ushirikiano mzur katika mambo mbalimbali. Waje wawekeze kwenye biashara na viwanda ila wasiwe kama usa ambao wanakuja kuchukua tanzanite na kutuachia mashimo wazi, rais wa China ameonyesha kulijali bara la Afrika kwani kaamua kufanya ziara...
Back
Top Bottom