Hii haizuii kumpa maua yake kuna mwana alikuwa anaumwa cancer hapa namjua akamwendea melo Japo hakusema Tatizo ni nini, Melo alimpa msaada wa kukutana na mtu hapo dar na akampa sh 600,000 cash.
Huyu mtu muacheni aiseeee
Hapo nimeelewa
Katajwa
Philipo mpango
Katajwa kasimu majaliwa
Kisamayu ni Kinana
Kummangula ni kumpa mtu sumu
Kibiongo kwenye ushoroba ni kale ka jamaa kafupi ambako ni mkuu wa wilaya kisarawe kwenye Ushoroba ndo Walisema kame mpa mangula sumu
Huyo alotajwa kuvujisha Siri ni Method Kumdyako...
Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.
Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.
Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie...
Hapa pagumu Lakin naweza jua
Bisho ntongo ni mtu mwenye macho makubwa Kama nyanya mshumaa,
Mtoni nadhani ni uongozi na bundi ni mfumo
Tatu sauti ya mahaba ya faragha nadhani hapa unasema mchengerwa kupitia wanu wanaongoza nchi
Umeeleweka
Siri wa Kokwa Ni Silverta Koka mbunge
Punda ni gari
Mchuzi wa mfalme ni CCM
Gheto langu ni mashairi ndani ya Wimbo wa Ngwaur alifia Afrika kusini,
Hivi leo kumetoka taarifa kwamba mtu wa Afrika kusini amesema gari walilokamata na wahamiaji haramu ni lake, ili kumsafisha Koka...
Hahaha we Chahali Mblok Watu Twitter una uoga sana wa hali ya juu!! Nakumbuka ulituaminisha kwamba Kigogo ataiangusha serikali ya SAMIA wawe makini naye!!kwamba anatumwa na BASHITE haha Mara unasema Kigogo kamalizwa na Lissu!! Ujiilizi uko Twitter Miaka zaidi ya 10 una followers laki 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.