Recent content by Nchiyetusote

  1. N

    Lowassa aenda Ujerumani kwa matibabu

    Au kaenda kwa TB Joshua.
  2. N

    Lowassa aenda Ujerumani kwa matibabu

    Hatuhitaji kujua. Inatosha tu kujua kwamba hafai kuwa kiongozi. Basi.
  3. N

    LOWASSA kilichomjenga ni kujiuzuru, pale alithubutu, nani kama yeye anaweza kuuacha uwaziri mkuu?

    Haya ni mawazo mufilisi na ni hatari kwa mustakbali taifa. Sina hakika na umri wako lakini kama we ni kijana ni hasara zaidi. Mnajitahidi kumtafutia EL umaarufu kwa njia za giza lakini hamtaweza. Amezama kwenye tope na hasafishiki. Ni aibu kujadili mtu ambaye amethibitika kutumia pesa...
  4. N

    Wapinga nauli ya treni ya 700 na 800/=

    Kimsingi hata hiyo 400/ hadi 500/= inayotangazwa na serikali bado ni kubwa. Kwa treni tunapaswa kulipa 200/= hadi 300/= vinginevyo haitakuwa na maana.
  5. N

    Zitto atikisa Bagamoyo leo

    Hata baada ya kuona matokeo bado hamjachoka kupandikiza chuki za kidini na kikabila??? Magamba sikio la kufa.
  6. N

    Ukimya wa Lowassa kuzungumzia rushwa katika chaguzi za CCM -- kulikoni?

    Ni sahihi kwa EL kukaa kimya maana hana uhalali wowote wa kukemea rushwa. Yeye ndo kinara wa ruhwa ndani ya Chama Cha Magamba.
  7. N

    CV ya Naibu Waziri wa Elimu Philip Mulugo: Je inatosheleza kusimamia majukumu aliyopewa?

    Katika awamu ya nne nchi inaendeshwa kwa Kihiyo-style ndo maana huoni serikali ikishtuka. Mulugo mwenyewe anajitetea kwa kujiamini kama 'shujaa'. Na aibu ya Mulugo ni cha-mtoto maana mteuzi wake alipohojiwa kuhusu elimu ya TZ katika round-table akasema nitaeleza kuhusu Infrastrustructure...
  8. N

    CV ya Naibu Waziri wa Elimu Philip Mulugo: Je inatosheleza kusimamia majukumu aliyopewa?

    Katika awamu ya nne nchi inaendeshwa kwa Kihiyo-style ndo maana huoni serikali ikishtuka. Mulugo mwenyewe anajitetea kwa kujiamini kama 'shujaa'. Na aibu ya Mulugo ni cha-mtoto maana mteuzi wake alipohojiwa kuhusu elimu ya TZ katika round-table akasema nitaeleza kuhusu Infrastrustructure. Oh...
Back
Top Bottom