Huu ni upuuzi wananchi wa vijijini wanachangishwa fedha za kujenga miundombinu halafu serikali iko bize na mambo ya hosiyo na tija kwa wananchi hii ni Tanzania mpya inayo hubiriwa na machawa akina mondi
Ile nguvu iliyo sababisha kuwepo kwa ulimwengu mzima ndiyo Mungu na siyo propaganda za kidini tufahamu kwamba DINI zililetwa ili kuwatawala watu hasa waafrika pia zililetwa kuvunja tamaduni na asili ya Afrika
Waafrika tuamke viongozi wenye uzalendo wanahitajika ni lazima tupige vita ukoloni mamboleo uliovishwa koti la ufadhilii tujisimamie wenyewe kwani Marekani ana mamlaka gani yakutaka kukamata viongozi wa mataifa mengine hivi huu sio ukoloni kwanini waafrika tusirudi vita kupigania uhuru wa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.