Yaani wewe akili zako unazijua mwenyewe. Pesa ni kama maua kuna wakati yanachanua na kuna wakati yananyauka so unataka kuniambia siku pesa zikikuishia ukafilisika itabidi umwache mkeo?
Wizara ya afya tunaomba mtoe tamko rasmi. Tanzania ugonjwa wa corona upo au hamna?
Kukaa kwenu kimya mnawapa nafasi watu wengine wasiohusika wazidi kuwaletea wananchi taharuki
Uzuri wa humu jamvini tunao wasomi waliobobea kwenye mambo ya biashara.
Maeneo ya hapa ninapoishi frem ya biashara inapangishwa kwa shilingi elfu hamsini (50,000) ndani ya miaka mitatu. Nimejibana sana nimekuwa natunza akiba kidogokidogo nahii ni kutokana na kipato changu kuwa kidogo kwani mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.