Baada ya hali kuwa mbaya nchini China Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Corona, hadi kusababisha vifo vya watu 425.
Wapo watanzania waliko huko ikiwemo wafanyabishara na wanafunzi. Hivi punde Milard Ayo kwenye ukarasa wake alituwasilishia taarifa ya Afisa habari Jumuiya ya Wanafunzi Watanzania...
Baada ya hali kuwa mbaya nchini China Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Corona, hadi kusababisha vifo vya watu 425 .
Wapo watanzania waliko huko ikiwemo wafanyabishara na wanafunzi.Hivi punde Milard Ayo kwenye ukarasa wake alituwasilishia taarifa ya Afisa habari Jumuiya ya Wanafunzi Watanzania...
Leo 27/01/2020 baada ya kuapishwa Waziri Mpya wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mussa Hassan Zungu alisema yafuatayo, "Nikushukuru Rais kwa kuniamini na kuniteua kuwa Waziri. Wakati nakuja watu waliniuliza utavaa nguo zako za mitumba au utavaa kitu kipya, lakini...
ni muhimu Mwananchi kuwa na kitambulisho cha taifa si kwa ajili ya kusajili laini tu, hata kwa ajili ya kuthibitisha ahalali ama uhalisia wa Mwananchi husika aidha katika uhitaji wa Safari,Ajira ama Biashara. .
Kufuatia kufikia malengo watanzania nchini kuwa na Vitambulisho vya Taifa, tukizingatia haya maONYO tunayopewa na mitandao ya simu kuwa ifikapo tarehe 31/12/2019 laini zote zitafungwa.hizi changamoto kwenye baadhi ya maeneo watu kushindwa kupata kitambulisho, wengine wanaambiwa ni baada ya...
Sawa tu ilimradi wasilete masharti ya kama yale ya David Cameroon.Hata hivyo sisi wenyewe tumefanikiwa hili ya elimu bure Darasa 1 - Form IV, kwa hivyo ikishindikana tutasonga tu.
Faru 9 weusi wameingizwa #Tanzania kutoka Afrika Kusini ikiwa ni jitihada za kurejesha jamii hiyo ya faru iliyopo hatarini kutoweka, kutokana na ujangili uliofanyika kipindi cha nyuma.
Shirika la CITES, linalohusika na wanyama waliopo hatarini kutoweka linakadiria hadi 2015 kulikuwa na faru wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.