Yani serikali inatuchukulia pouwa sana ila IPO siku uyu kiziga matuhuma kibao mpaka mwenda zake alishamsema eti leo kawa msafi akatunge sheria na kuisimamia serikali mtu mwizi jambazi
Uyu mama wa kizanzibar anadharau sana anatuona watanzania wajinga wapumbafu hatuna lolote mtu mwenye matuhuma kibao tena yenhe ushahidi unampeleka bungeni kufanya nini hakuna hata sehemu moja amewahi kujibu tuhuma anazopewa
Na sababu ipi anamtengua mkurugenzi wa EWURA na mpaka mda huu wizara...
Vyombo vya ulinzi na usalama mpaka sasa hawataki kutoa tarifa ila habari ndio hiyo vifo inaripotiwa ni vingi sana majanga hayo yanetokea leo hii.
Kufuatia tetesi hizi, Jeshi la polisi limefafanua kuwa hakuna mtu aliyepoteza uhai >>> Polisi: Hakuna Mchimbaji aliyefariki kwenye Machimbo ya Msasa...
Ni zaidi ya miezi sita sasa tangu Mheshimiwa Hussein Bashe, Mbunge wa Nzega Mjini, atoe ahadi ya kugharamia chakula kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Mwanzoli, hasa wale wa bweni waliopata ufaulu wa juu. Hadi leo, utekelezaji wa ahadi hiyo haujafanyika.
Ahadi hiyo ilipokewa kwa matumaini...
Katika kipindi cha maombi mfumo ulikuwa unamwambia wachague nafasi ipi wanaitaji ukarani au usimamizi wa maudhui kwaiyo Kila mtu akacchagua pal e anapoona anaweza shindania ajabu iliyotokea walioomba nafasi ya ukarani nchi nzima maajina yamerudi ila kundi la maudhui limerudi kimakundi kwa...
Nawakumbusha tu zoezi hili lilikuwa ni ajira za muda mfupi ila madudu yaliyofanyika katika kuwaondoa wasimizi wa maudhui limekuwa jambo la kawaida pamoja na vijana kupaza sauti si kiongozi wa chama tawala Wala upinzani ambaye ametoka na kuliongelea hili suala as if hakuna ujinga ukiofanyika mtu...
Niende moja kwa moja kwenye hoja kwa mda sasa serikali imekuwa ikipeleka pesa za maendeleo ya miundombinu katika halmashauri zake mfano pesa za ujenzi wa vituo vya afya, pesa za ujenzi wa madarasa, pesa za ujenzi wa nyumba za watumishi,na pesa hizi zimekuwa zikiingia moja kwa moja kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.