Recent content by Nazi embe

  1. N

    Wazazi Nzega mji walia na ahadi hewa Hussein Bashe: Ahadi ya chakula kwa wanafunzi wa mwanzoli yasalia hewani

    Ni zaidi ya miezi sita sasa tangu Mheshimiwa Hussein Bashe, Mbunge wa Nzega Mjini, atoe ahadi ya kugharamia chakula kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Mwanzoli, hasa wale wa bweni waliopata ufaulu wa juu. Hadi leo, utekelezaji wa ahadi hiyo haujafanyika. Ahadi hiyo ilipokewa kwa matumaini...
  2. N

    Vijana mliokatwa nafasi za maudhui zoezi la Sensa mmeona unafiki wa Wanasiasa

    Acha uongo mwalimu mkuu usilete mmepewa shavu tu kuna walimu wakuu hata kuwasha computer hawajui au niwataje😂😂😂
  3. N

    Vijana mliokatwa nafasi za maudhui zoezi la Sensa mmeona unafiki wa Wanasiasa

    Katika kipindi cha maombi mfumo ulikuwa unamwambia wachague nafasi ipi wanaitaji ukarani au usimamizi wa maudhui kwaiyo Kila mtu akacchagua pal e anapoona anaweza shindania ajabu iliyotokea walioomba nafasi ya ukarani nchi nzima maajina yamerudi ila kundi la maudhui limerudi kimakundi kwa...
  4. N

    Vijana mliokatwa nafasi za maudhui zoezi la Sensa mmeona unafiki wa Wanasiasa

    Nawakumbusha tu zoezi hili lilikuwa ni ajira za muda mfupi ila madudu yaliyofanyika katika kuwaondoa wasimizi wa maudhui limekuwa jambo la kawaida pamoja na vijana kupaza sauti si kiongozi wa chama tawala Wala upinzani ambaye ametoka na kuliongelea hili suala as if hakuna ujinga ukiofanyika mtu...
  5. N

    TAMISEMI, mmebariki Halmashauri kuwa wazabuni wa taasisi zake?

    Boss hizo kamati hazipo futilia michezo inavyoenda
  6. N

    TAMISEMI, mmebariki Halmashauri kuwa wazabuni wa taasisi zake?

    Niende moja kwa moja kwenye hoja kwa mda sasa serikali imekuwa ikipeleka pesa za maendeleo ya miundombinu katika halmashauri zake mfano pesa za ujenzi wa vituo vya afya, pesa za ujenzi wa madarasa, pesa za ujenzi wa nyumba za watumishi,na pesa hizi zimekuwa zikiingia moja kwa moja kwenye...
  7. N

    UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya 184

    Wafanya biashara na watumishi Tunduma poleni sana mmeletewa jini mnyonya dam yani kichomi kupita maelezo nzega uko Leo ni shangwe na vigeregerer
  8. N

    Katibu Tawala Makungu, hivi Nzega Mji kuna nini?

    Aache ubabe halmashauri siyo mali yake au ya baba yake Ile ni mali ya umma atafanya kazi ataondoka ataicha kwaiyo asinyime maslahi ya wengine Kama vile anatunza mali ya familia yake kuwa akiondoka familia itabakije
  9. N

    Katibu Tawala Makungu, hivi Nzega Mji kuna nini?

    Kuna tatizo sana katika hizi halmashauri.
  10. N

    Katibu Tawala Makungu, hivi Nzega Mji kuna nini?

    Tunaweza kusema hii ndio halmashauri ambayo boss wake ajali kabisa maslaahi ya watumishi wake kati ya halmashauri zote za mkoa wa Tabora na haya malalamiko na manunguniko tunaimani katibu tawala makungu na mkuu wa mkoa Ally hapi mshayapata maana tunajua wewe makungu ni mtu wa usalama una njia...
  11. N

    Rais Samia kazi anayo, nimeshtushwa na mazungumzo ya baadhi ya rafiki zangu

    2011 kamaliza chuo mpaka leo hana chakufanya mbona hasaraa sana kwa familia, vijana tambueni Safari moja huanzisha nyingine toka home nenda hata kwa mjomba uko kabebe hata zege uko utakutana na tajiri aliyewapa kazi ya zege anaweza teta Jambo na wewe ikawa ndio toka yako cha msingi tu Uaminifu...
Back
Top Bottom