Du! hii demoted siyo promoted tenaMwanza jiji
Du! hii demoted siyo promoted tenaMwanza jiji
Nasema Tena narudia.Wakuu Nawapa Taarifa Tu Kwamba, Kwa Mkoa Wa Pwani, Katika Wakurugenzi Wateule Ambao idadi Yao Ni 9, Miongoni Mwao 8 ni Waislamu na 1 Tu Ndio Mkiristo ambae Ni John Kayombo Lipesi ambae Ni DED Wa Rufiji. ... Kazi Iendelee
Mtaisoma nambaaaa.Wakuu Nawapa Taarifa Tu Kwamba, Kwa Mkoa Wa Pwani, Katika Wakurugenzi Wateule Ambao idadi Yao Ni 9, Miongoni Mwao 8 ni Waislamu na 1 Tu Ndio Mkiristo ambae Ni John Kayombo Lipesi ambae Ni DED Wa Rufiji. ... Kazi Iendelee
Mkurugenzi anayekuja wilaya songwe ajipange maanake haieleweki yani ukienda halmashauri unashida ndio utajua kuwa songwe iko Zambia maanake viongozi huwakuti halmashauri pia wengi wa wafanyakazi wa pale wameteuliwa au promoted kwa rushwa ya ngono au pesa mfano kuna afisa elimu mmoja wa mkoa amemuweka hawala yake kuwa afisa elimu taaluma sekondari.Mtaisoma nambaaaa.
Tulisema JPM mdini na mkabila mkasema OHHHH.
PRECEDENCE NEVER STOP
Binafsi nimefurahi sana netho kuachwa kwenye list ya U_DED maana ni kigeugeu balaa na anajipendekeza mpaka anaboa utaadhani si mwanaume.kuna mkurugenzi mmoja anaitwa jina Neto alikuwa mafinga sijui mufindi naona simuoni
Enzi za Magu zikapotea? hahaha mzaha huu.Zilikuwepo enzi za jakaya, enzi za magufuri zikapotea. Mara ghafla zimeibuka kwenye zama za miss utalii
🤣🤣Jaribu kuchuja watu w kujibizana nao humu JF, hili Jumbe achana nalo
Upumbavu utakutoka lini ?!!🤣Dini ndio imekuwa kigezo kikubwa.
Pwani, Chalinze, Mkuranga na maeneo kama hayo yote tulipendekeza asipelekwe Mkristo kwasababu hawezi kutenda haki sana kwa Waislam au hata kushughulika na shida zao.
Pia katika kikao cha mwisho tuliona tuwape Waislam (Dini ya hakhi) nafasi zaidi za teuzi
🤣🤣Kwani wewe hapa duniani umeishafanya nini la maana?
JanaUpumbavu utakutoka lini ?!!
Mkristo ataenda kuwaondolea Udhu Waislam na dini yao ya hakhiWakuu Nawapa Taarifa Tu Kwamba, Kwa Mkoa Wa Pwani, Katika Wakurugenzi Wateule Ambao idadi Yao Ni 9, Miongoni Mwao 8 ni Waislamu na 1 Tu Ndio Mkiristo ambae Ni John Kayombo Lipesi ambae Ni DED Wa Rufiji. ... Kazi Iendelee
Wakili MZIMA unakua mdini namna hiyo....hataree... 😲Wakuu Nawapa Taarifa Tu Kwamba, Kwa Mkoa Wa Pwani, Katika Wakurugenzi Wateule Ambao idadi Yao Ni 9, Miongoni Mwao 8 ni Waislamu na 1 Tu Ndio Mkiristo ambae Ni John Kayombo Lipesi ambae Ni DED Wa Rufiji. ... Kazi Iendelee
Mnapenda sana lugha za kedi ,kebehi na matusi....Zilikuwepo enzi za jakaya, enzi za magufuri zikapotea. Mara ghafla zimeibuka kwenye zama za miss utalii
Wacha Kihere na kiroho papoToka nimekufahamu humu ndani wewe ni udini... udini na wewe.....
Dini zenyewe zimekuja kutoka ughaibuni....
#KaziIendelee
#NchiKwanzaKablaYaChochote
DED njombe alikuwa bora kabisa...wakurugenz mbalimbali walikuwa wanakuja kujifunza kwakeKiukweli mamlaka ya Uteuzi imeniudhi Sana akiwemo Waziri wa Tamisemi.Inakera Sana mnawatoa watu wanaochapa Kazi na mnawaacha wahuni na wezi...
Aisee ......ndo maana watz muendelee kuchangia tozo ......kazi iendelee.Wote hao nao wanahitaji v8
Typing errorNini maoni yako baada ya kupitia Orodha ya majina ya wakurugenzi hii hapa kama mwananchi kwa mteuzi na wateuliwa ?
Ukifatilia kwa makini utaona kuna majina yamejirudia kutajwa zaidi ya kituo kimoja cha kazi. kwa mfano angalia Dollar Rajabu Kusenge na Lutengano George Mwalibu !
View attachment 1877047