Mungu yupo pamoja na wote wanaopambana dhuluma za wanyonge.WABARIKIWE WOTE WENYE NIA NJEMA NA CHADEMA.MUNGU ANAJUA MEMA YOTE MLIYOIFANYIA NCHI MPAKA SASA.Binafsi sitampenda maisha yangu yote huyo msaliti Wa mabadiliko ya kweli.
Jimbo gani wanamkubali hebu litaje kwanza.Mshauri aende kugombea.Mimi naamini ufanyaji nzuri katika team work mtu mbinafsi asiyejificha uso wake simwamini kamwe.Hata hayo unayosema juu yake hakufanya pekee yake wengi tunajua hivyo.Katika mapambano yeyote dhidi ya adui anayerudi nyuma na...
Nawashangaa sana watu mnaokosoa kauli ya sheikhe Salum,hivi hamuona kuwa kweli kwamba maneno ya katibu wenu wa ccm yanamkatisha tamaa waziri?mnataka viongozi wa dini wanafiki?Jiulize kwanini kamsema waziri wa mali asili si huyuhuyu anayeitwa" kaa mbali na tembo"kabanwa mbavu huyo meli imekosa mzigo.
Nawashangaa sana watu mnaokosoa kauli ya sheikhe Salum,hivi hamuona kuwa kweli kwamba maneno ya katibu wenu wa ccm yanamkatisha tamaa waziri?mnataka viongozi wa dini wanafiki?Jiulize kwanini kamsema waziri wa mali asili si huyuhuyu anayeitwa kaa mbali na tembo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.