Recent content by Nawaandikieli

  1. N

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

    Pia tuombe mambo kama haya yaliyotufikisha mahakamani leo yasitokee tena huko mbele maana hayana Afya kwa Taifa letu.
  2. N

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

    Tunawaomba msitumie maneno makali kiasi hicho. Tuwe wastaarabu kidogo. Ombi kwa wale mnaochuja taarifa hizi kuwa makini kwa watu wanaotumia lugha chafu. Huyo anayeitwa zezeta humu ni mzazi wa watu.
  3. N

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

    Kwa uelewa wangu mdogo, wachambuzi wetu kabla hawajaruhusu ujumbe wenye viashiria vya uchochezi ama kwa namna moja ama nyingine maneno ya kukaraisha na kutia hasira, habari ambazo sio za kweli huchujwa. Je! Vipi katika hili?
  4. N

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

    Kwa wajuzi wa mambo ya mahakamani Wakili wa Serikali anaposema: tunaomba sasa tupewe P2 ilishahidi aweze Kusoma anamaanisha nini?
  5. N

    Sifa hizi za kocha mpya wa klabu ya Simba, zina msaada wowote kwa timu?

    Imekuwa kila kukicha tunaelezwa uzoefu wa mwalimu mpya wa klabu ya Simba kwamba ametokea katika kufundisha timu kubwa na kwamba anafahamiana na walimu wengi na wakubwa katika mataifa ya nje. Swali langu ni je; sifa na umaarufu wa mwalimu huyo unamchango gani kwa klabu ya Simba?
  6. N

    Arusha: Hukumu ya kesi inayomkabili Lengai Ole Sabaya imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021

    Tuiache Mahakama ifanye kazi yake. Pia sheria ifuate mkondo wake.
  7. N

    Vodacom katika hili mjitathimini

    "Vodacom" Ngoma ikivuma sana, mwishowe hupasuka. Mbali na kuwepo mipango mingi ya baadhi ya watumiaji wa mtandao wa simu za mkononi wa Vodacom hapa nchini kuandaa wanasheria kwa lengo la kutaka kuifikisha kampuni hiyo mahakamani kwa kile wanachesema ni wizi kwenye vifurushi vya mtandao...
  8. N

    Ndoa kati ya Kampuni za Mawasiliano na Serikali kuhusu tozo ni kichomi kwa Wananchi

    Ndoa kati ya kampuni za mitandao ya simu na serikali inayohusu tozo kwenye miamala mbalimbali inayofanywa kwa njia ya simu, pamoja na ndoa kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Shirika la Umeme nchini (TANESCO) zimekuwa ni ndoa kichomi kwa wananchi kutokana na mlundikano wa kodi...
Back
Top Bottom