ebhnaaaeee sasa si watupe sisi wenye vigezo tupo tu mtaani jaman khaaa na hzo elfu 5 wanatoa mwaka gani maana wazir nae kasema walitoa week 2 zilizopta
Wadau naomba kujua kiundan kuhusu qnet kama kuna yeyote yuko huko na kuna mabadiliko au ametajirika kuptia hyo ktu a share na mimi ktu maana dah ndugu yangu anaamin asilimia mia yan hatak hata nitafte kazi niwe qnet
Mimi ni muhitimu wa Chuo Kikuu nina Shahada ya education katika masomo ya sanaa History na kiswahiki
Natafta nafasi ya kujitolea kufundisha shule yeyote hapa jijin Dar es salaam ili nipate uzoefu kwa mawasiliano zaidi
Tuwasiliane kwa namba 0656808115 au 0753513628
Mimi shemej angu yuko huko kashanipeleka kwenye semina zao et nijiunge now namchenga kila siku ananipgia cm
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Naomba kujua kuhusu hii company ina uhalali wowote au ndio mbinu za kiutapeli mjini kwa mwenye uelewa anijuze tafadhali maana kuna shemeji angu katoa milion nne et kujiunga na hyo qnet ili aje apate mihela
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.