Wadau nawasalimu,
Kuna mgogoro wa kifamilia unafukuta nyumbani kwangu,
Ni kwamba kuna kaka yangu ambae alipata matatizo na yupo jela sasa takribani mwaka wa pili akitumikia kifungo cha miaka saba.
Huku nje familia yake ilishindwa kumudu kodi ya nyumba baada ya kodi aliyolipa jamaa kuisha...
Msemaji wa kikosi cha anga cha Israel IAF Eli malka amesema hakuna ndege yoyote ya Israel iliyotunguliwa na vikosi vya Syria, kuwa taarifa zinazoonea kuhusu jambo hilo zipuuzwe ni propaganda na si habari za uhakika
Malka akijibu wawakilishi wa vyombo mbali mbali vya habari vya kimataifa...
Sawa umeeleweka mama, maana suluhisho ndicho kinachotakiwa na sio uchambuzi, uchambuzi hauwezi kusaidia, mm kama mleta mada ndie niliewaeleza hili suala, sasa kwa vyovyote vile na kwa kuwa mm ni mtu mzima naweza kuwa yote mnayojaribu kusema nayajua au nayahisi kuwa yametokea, sasa way forward...
Kuna mgeni tumekua nae kwetu kwa wiki sasa, wife alinieleza kuwa ni binadam yake mtoto wa shangazi yake, kiumri wana rika moja na wife.
Ukoo wa wife nawafahamu wote kule kijijini sasa madai ya wife kuwa ni mtoto wa shangazi yake yakawa yamenishtua ambapo Nikamuomba aniambie kinagaubaga ni...
Kwani wewe tukio hili umelipata kupitia wapi? Kama sio media? Wote tumepata kupitia media, ni akili yako kuchambua,
Wachambuzi wengi wameelezea vizuri jambo hili, watu wengi wanasikitshwa na kinachoendelea uturuki, haiitaji uende uturuki kuona,
Wamekamatwa watu 60,000 wakiwemo...
Upo dunia gani mkuu, Kuna mtu sasa hivi anaharisha sababu ya ukimwi, dawa zimejaa watu wananona ka ngombe,
Ukienda muhimbili hata wodi ya wagonjwa wa ukimwi siku hizi imefungwa, haipo tena, ilikosa wagonjwa wapya
Halaf hata huyo mpenzi ulienae kama hamjapima hamna tofauti na mm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.