Binafis nimelelewa na mama lakin baada ya kuingia mwaka wa kwanza chuo baba alikuja na kudai yeye no baba yangu kuwa natakiwa niishi nae lakin nilkubali tu kuwa ni mzazi lakn siwez kuish nae mda wote alikuwa wap?
anataka ajupime kama uko serious kwa kuwa wanaume hawaaminiki siku hizi kama kweli unampenda komaa atakubali wachache sana wanaokubali kwa mara moja hadi ubembeleze..
kama changudoa ameshaacha kabisa na ameokoka mimi niko tayari kumuoa kwa kuwa tayari anayajua maisha yalivo na ataitunza ndoa kwa umakin akiamin hakuna nafas nyingine zaid..
dah...hapo kaka ahidiana nae mkutane ili ajue kuwa ni wew ili aumie na yey japo ukweli kuwa syo wako tena hautabadilika.
Nahis tatzo alikuona hauna malengo nayeye hasa pale ulipokuwa unakosa hata kumpa ahad za uongo kuhus lin mtafunga ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.