Recent content by naturalhandsome

  1. naturalhandsome

    Nimlaumu nani, baba au mama?

    Binafis nimelelewa na mama lakin baada ya kuingia mwaka wa kwanza chuo baba alikuja na kudai yeye no baba yangu kuwa natakiwa niishi nae lakin nilkubali tu kuwa ni mzazi lakn siwez kuish nae mda wote alikuwa wap?
  2. naturalhandsome

    Mrejesho wa mama Neema. Je, nichukue milioni tano au niache?

    Usichukue hiyo hela tafadhali kwan itaonyesha kuwa wewe pia unakubaliana na mkeo kufanya upuuzi ili upate kipato
  3. naturalhandsome

    Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

    Mjinga sana wewe na utakukufa na Ukimwi yaan dawa ya tatzo ni kuliongeza!?ulaniwe kabsa
  4. naturalhandsome

    Mauzauza ya mke wangu

    pole sana kaka....
  5. naturalhandsome

    Ni aibu ama inakuaje?

    dah braza noooma sana hiyo....
  6. naturalhandsome

    Nashindwa kumuelewa, alinionyesha ishara za mapenzi nimemtongoza kakataa

    anataka ajupime kama uko serious kwa kuwa wanaume hawaaminiki siku hizi kama kweli unampenda komaa atakubali wachache sana wanaokubali kwa mara moja hadi ubembeleze..
  7. naturalhandsome

    Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

    hahahhahahah!!!!!!wewe....
  8. naturalhandsome

    Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

    kama changudoa ameshaacha kabisa na ameokoka mimi niko tayari kumuoa kwa kuwa tayari anayajua maisha yalivo na ataitunza ndoa kwa umakin akiamin hakuna nafas nyingine zaid..
  9. naturalhandsome

    Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

    mimi kama umekuwa mkweli niko tayari kukuoa ..
  10. naturalhandsome

    Kwa staili hii kina dada mtaumia

    mmmmh....napita tu....
  11. naturalhandsome

    Alinidanganya amekufa kumbe yupo hai na kachumbiwa

    dah...hapo kaka ahidiana nae mkutane ili ajue kuwa ni wew ili aumie na yey japo ukweli kuwa syo wako tena hautabadilika. Nahis tatzo alikuona hauna malengo nayeye hasa pale ulipokuwa unakosa hata kumpa ahad za uongo kuhus lin mtafunga ndoa...
  12. naturalhandsome

    Huyu dada nimfanye nini wadau?

    dah!binadam kweli wabaya sana...
Back
Top Bottom